Ulioyasema kuna ukweli kiasi lakini si yote fursa za biashara ni mahali popote kutegemea na nature ya biashara yako. Dsm ina advantage ya kuwa population kubwa(huge market) office nyingi hivyo kutoa urahisi Kama u nataka huduma yoyote pia ni import destination ambayo bidhaa nyingi imported...
it is true that most tanzanians don`t know english but this should not be confused with the level of understanding and awareness. i can see some kenyans insulting us as dumb and stupid because we don`t know english. english is just a language like kijaruo so there is nothing wrong with not to...
ndugu mtanzania mwenye machungu na nchi yako naomba nikueleweshe nimebahatika kupata uelewa kuhusu mambo ya natural resources exploitation. kwa ufupi ni kwamba any natural resource inapovunwa muwekezaji anatakiwa alipe royalty payment kwa mmiliki wa resource (google royalty payment) kwa hapa...
wadau vp mpoo
kutokana na raisi wa zimbabwe Mr. robert mugabe kutoa misemo mingi yenye mantiki mnaonaje tukimfanya kuwa mmojawapo wa wahenga
tupia comment yako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.