pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Waarabu kwa NYAMA we acha tu
That one is found at Ufipa street in Kinondoni area.
waarab wameona migogoro ya wakulima na wafugaji inazidi,wanatuletea kiwanda cha nyama ili tuwaachie maji..heko ubalozi waoKiwanda cha nyama, this is good news kama itatekelezwa
Alianza rais wa vietnam.bado durtete wa Phillipines au yule miwizi wa kura venezuela,awamu hii wageni wa ajabu ajabu kweli aisee.
hujui lolote kuhusu diplomasia bora ungenyamazaLeo sijui mtaomba hela ya nini..
Reli SGR iliyobuma..!!
Jamaa enu hajui hata wa kuwaomba..
Hata akija Rais wa Chad anaomba tu!!
Lucy kibaki alishafariki mkuuAlianza rais wa vietnam.
Awamu hii atakuja hata mke wa kim jong ju korea huko.
Au hata mke wa mwai kibaki.
Sijui yupo hai ama la.
Sidhani kama Trump atakuja tembelea nchi yoyote Africa, labda Misri tu kwa kutua asubuhi na kuondoka jioni.Bado Donald Trump na Putin
Cha kushangaza ni kwamba taifa la Misri tangu enzi za Musa juzi tu ndio walipata demokrasia kuchagua kiongozi wao mara ya kwanza.Hivi al-Sisi ndiye yule alipindua raisi aliyechaguliwa kihalali na kila uchwao anawahukumu kifo wapinzani wake pamoja na kuwafunga?
Kiongozi ambaye yuko jela now [HASHTAG]#morsi[/HASHTAG]Cha kushangaza ni kwamba taifa la Misri tangu enzi za Musa juzi tu ndio walipata demokrasia kuchagua kiongozi wao mara ya kwanza.
upo sahihi mkuuHuyu kafuata maji tu.
FoleniSafi sana. Ila foreni da!!! Km ni kwa sababu ya huyu Mgeni Kuna haja ya maboresho.
Mwenzio ndio kaendelea hivyo..!!Do you have to write in English?