Mbona Kenyan forums Tanzanians?

Don YF

JF-Expert Member
May 24, 2014
10,153
9,519
Nimepitia "News and current events" tanzanian forum, watz are very few! Thread inapita with, 0,1 or 2 comments! mingi sana hardly reaches 20 replies! maybe few. Lakini on Kenyan issues hapa muko kibao, macho na vidole!! why are u following with such interest? mko wengi hapa kushinda kenyans! kazi ni kuponda, kupinga na kujaribu kudunisha kenya., mbona? fact cant be changed with many words n winning a debate with selected facts to suit a bias, Tanzanians changieni mada kwa wingi kama munavyo fanya hapa on your forums!
 
Tupatie free internet tuchangie kwenye vitu venye tunajuanga!

Punguza mihemko wa Masai ya Orgosmet!

sent by IPhone 6 using jamii forum app
 
....News and Current events segment, equivalent to this., interest ya wenji nimeona iko related na economy: business and various developments., check related forums kwao? hazina umarufu!
True, wako interested zaidi na mambo ya nje, and if it is about maendeleo in.other countries, esp in an African country, kazi ni kuponda.

Negativity seems to be the one thing driving up the traffic in these forum platforms.

Look at Kenya the Kenyan socisl media, when it is about....u know. Tz: it is all about Kenya vs Tz or Ccm.vs Chadema flamewars, in the US's reddit: racist and religious, sexist prejudices.....
 
They official trollers on kenyan matters,wenye wivu wajonyonge

Sent from my GT-N7000 using JamiiForums mobile app
 
Juu ya inferiority complex
Juu mnajua wakenya ndio wanaweza

"KENYA FORUM" hapa JF ndio inaleta profit .....sisi sio LDC wakenya wakitoka JF most of you wont have a reason to log in; JF will die
 
They official trollers on kenyan matters,wenye wivu wajonyonge

Sent from my GT-N7000 using JamiiForums mobile app

Hio ilikua long time tz elimu ipo nyuma lkn kwa sasa kenya hamfikii tz kielimu kabxaaa
Kwanza tuna Internationa school kila mtaa
St.Merry
St.Agustine
St.Ally
St.Mwamedi
Yaaani nikianza kukutajia intrnatonal za tz ntajaza page tu humu
 
Nafikiri mlisahau JF ni ya waTanzania, waKenya huku mmekaribishwa.

Acheni kulalamika, mkiona mnakuwa trolled mjue mpo dhaifu.
 
Nimepitia "News and current events" tanzanian forum, watz are very few! Thread inapita with, 0,1 or 2 comments! mingi sana hardly reaches 20 replies! maybe few. Lakini on Kenyan issues hapa muko kibao, macho na vidole!! why are u following with such interest? mko wengi hapa kushinda kenyans! kazi ni kuponda, kupinga na kujaribu kudunisha kenya., mbona? fact cant be changed with many words n winning a debate with selected facts to suit a bias, Tanzanians changieni mada kwa wingi kama munavyo fanya hapa on your forums!
Hakuna "Kenyan Forums" wacha kupotosha. Kuna East African Forums. Pia kuna "Kenyan news and politics" ndani ya East African Forums.

Isitoshe, huwa tunapenda sana kuwashushuwa manyang'au mnapokuja na uongo na majisifu ya kijinga.
 
Nimepitia "News and current events" tanzanian forum, watz are very few! Thread inapita with, 0,1 or 2 comments! mingi sana hardly reaches 20 replies! maybe few. Lakini on Kenyan issues hapa muko kibao, macho na vidole!! why are u following with such interest? mko wengi hapa kushinda kenyans! kazi ni kuponda, kupinga na kujaribu kudunisha kenya., mbona? fact cant be changed with many words n winning a debate with selected facts to suit a bias, Tanzanians changieni mada kwa wingi kama munavyo fanya hapa on your forums!
wewe mwenyewe sio kenyan, umevamia tu na kuanzisha thread uonekane

though hii forum ni ya watz lazima tudominate

hii pia imeandkwa baada ya rooney kuja tanzania si kenya ndio mnahaha kutwa!
 
Hio ilikua long time tz elimu ipo nyuma lkn kwa sasa kenya hamfikii tz kielimu kabxaaa
Kwanza tuna Internationa school kila mtaa
St.Merry
St.Agustine
St.Ally
St.Mwamedi
Yaaani nikianza kukutajia intrnatonal za tz ntajaza page tu humu
Wewe mbos iko sema kitu gani?
 
Juu ya inferiority complex
Juu mnajua wakenya ndio wanaweza

"KENYA FORUM" hapa JF ndio inaleta profit .....sisi sio LDC wakenya wakitoka JF most of you wont have a reason to log in; JF will die
token kwani nani aliwalazimisha kufungua accounts
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom