hedaru sec 2003-2006 kulikua na ticha jina halisi mr kisese aka mbogo
alikua mbogo kweli kweli.akikushika na kosa hana msamaha,huwa anauliza kwani ukikanyaga moto unaungua hapo hapo au baadae?
afu anakupa option ya kuchagua idadi ya fimbo kati ya 2 au 6, ole wako uchague 2 hutokaa chini wiki nzima
nakumbuka ilikua 2004 nipo 4m2 hedaru sekondari,kulikua na ticha mnoko sana tulimtunga jina la mbogo.akikudaka anakuambia uchague fimbo 2 au 6
ilikua ni bora uchague sita,ukichagua 2 basi ujue utakaa kwa kalio moja wiki 2
We ndo failure na namba 7 yako,kombe la uhai lina timu chache safari hii kwann man u msiombe kushiriki angalau mpate mechi nyingi kidogo
Mtuache na Arsenal yetu miaka 900
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.