Hivi wangapi mmeanza kuona Diamond kaanza kupotea

Hivi wangapi mmeanza kuona Diamond kaanza kupotea

Amepata bibi ambaye anataka wajenge familia.
kampa na mimba.kinachofuata sasa ni kupiga miti kulea mimba na mtoto akizaliwa.
muziki hapo ndio kwaheri.
Badala ya kufanya mazoezi atakaa nyumbani kumwangalia mtoto au kulea mimba.mtoto anakuja na majukumu mengine bwelele.kwa ujumla kuanzia hapa Diamond hatakuwa na makali tena km hapo mwanzo.
Muda si mrefu Kina sijui romyj na mabaunsa na yule ---- mpiga picha hawana kazi.waangalie alama za nyakati.
ZARI NDIO ANGUKO LA DIAMOND.
 
sasa diamond akishuka inakusaidia nini?jamiiforum ni jukwaa la watu wanaojitambua mods embu muwe mnatoa uzi wenye kushusha weledi wa jukwaa..nimejiuliza mtoa mada uwezo wake wa kufikilia na dhumuni la uzi wake nimeona umaskini wake wafikra na njaa ni tatizo kwake..kijana hamka tafuta ajira diamond awez kukusaidia
.pumbaf.
 
Hii Ina maana Sanaa ya miziki ni Kama sports kuna Wakati mwili hukataa hata UFANYeje .....kinatofsutiana ni nidhamu ...wenye nidhamu hudumu Zaidi

Ni kweli kabisa ulichosema, wenye nidhamu wanadumu mfano halisi ni jay-z jamaa ana nidhamu nzuri pia kwa bongo kuna kina jide, wale wazinzi na walevi wote kama mr.nice hawakudumu
 
sasa diamond akishuka inakusaidia nini?jamiiforum ni jukwaa la watu wanaojitambua mods embu muwe mnatoa uzi wenye kushusha weledi wa jukwaa..nimejiuliza mtoa mada uwezo wake wa kufikilia na dhumuni la uzi wake nimeona umaskini wake wafikra na njaa ni tatizo kwake..kijana hamka tafuta ajira diamond awez kukusaidia
.pumbaf.

we Fukara hiki sio kijiwe cha kuingia kama chooni, ujue kuelewa maada, kwa jinsi ulivyo hata comprehension kwako ni shida, hivi mimi nmeandika wapi ntasaidika na kushuka kwake, kuna watu thread ikiwa kimya tunasubiri waropoke nonsense kama wewe, weledi wa jukwaa utaujuliwa wapi we fukara wakati hadhi yako tu ni maskini wa akili, mgeni wa ajira utamjua tu hivi ulifikiri mtu akiajiriwa ndio haingii jamii forums, we kaa tu hapo kijiweni nikipata mshahara wangu ntakupiga 0712

wastrelllllll
 
amepata bibi ambaye anataka wajenge familia.
Kampa na mimba.kinachofuata sasa ni kupiga miti kulea mimba na mtoto akizaliwa.
Muziki hapo ndio kwaheri.
Badala ya kufanya mazoezi atakaa nyumbani kumwangalia mtoto au kulea mimba.mtoto anakuja na majukumu mengine bwelele.kwa ujumla kuanzia hapa diamond hatakuwa na makali tena km hapo mwanzo.
Muda si mrefu kina sijui romyj na mabaunsa na yule ---- mpiga picha hawana kazi.waangalie alama za nyakati.
Zari ndio anguko la diamond.
alinacha
 
Makali ya huyu kijana yameanza kuisha, sio muda mrefu asipojicheki atashuka hadi ajishangae, huu mziki hakuna anaekaa forever, walikwepo kina Mr. Nice, Juma Nature, Matonya, Hussein Machozi, Inspector Haroun na wengine wengi tu waliokwishawika, ila hakuna marefu yasiyo na ncha.

Kijana naona ni yeye na bata tu siku hizi, kilichomfanya ale hizo bata hakithamini tena, mziki kama soka, kijana asipojikaza atashuka tu hadi ajishangae.

Hakuna kipya hapo. Kwani ulitarajia ahit milele? Umaarufu wake ulikuwa na mwanzo na mwisho wake lazima uwepo pia. Umesahau Kanda Bongo Man alivyokuja juu miaka ile? Leo unasikia hata jina lake kutajwa tu?
 
Ni kweli kabisa ulichosema, wenye nidhamu wanadumu mfano halisi ni jay-z jamaa ana nidhamu nzuri pia kwa bongo kuna kina jide, wale wazinzi na walevi wote kama mr.nice hawakudumu

Hata yule gwiji wa Golf alipo jichanganya na uzinzi ndio basivtena jana kastaafu kwa muda baada ya kuonesha kiwangobkobovu kabisa katika maisha yake ya kimchezo huo.
 
acheni mawenge yenu nyinyi na mtasubiri sana Mungu awajalie uhai tu...
1. mwaka umeanza ndio kwanza kachukuwa tuzo uganda last week
2. nitampata wapi ambayo ndio hit single yake kwa sasa youtube ina views zaidi ya 2.3m, ndio wimbo uliopakuliwa zaidi kwenye mkito.com tangu kuanzishwa mtandao huo, inafanya vizuri namba moja chati za muziki Tanzania MMC, na bado kwenye trace kituo kikubwa cha kimataifa kwenye Africa top 30 ni nyimbo pekee kutoka Tanzania na inashikiria namba 5, zaidi jana imepigwa kama smash hit...
3. bado kidogo iwe released nyimbo aliyoshirikishwa na linex 'salima' na bado kuna collable mbili za kimataifa pamoja na wimbo wake aliomshirikisha Fally ipupa zote kutoka kabla machi haijaisha...
4. Sasahivi yupo india kwaajili ya kumuuguza mama'ake na video shoot, na si vinginevyo...

SIDHANI KAMA UNAYAFAHAMU YOTE HAYA KAMA UNAYAJUWA NA UMEANDIKA UTUMBO NAKUSHAURI TU USIKATE TAMAAA KAMA KALA JEREMIAH NI UGONJWA WA WIVU WA MAENDELEO U FOOOO KABISA NA JITAZAME SANA KAMA NI MWANAUME.....

hii kazi ya uPR wa diamond anakulipa sh ngapi kwa mwezi?......nataka nikuajili kwenye kampuni yangu, kazi nzuri kijana
 
Watu kujifanya watabiri wa maisha ya watu.

Wewe pale alipo,akishuka na hata kufa kabisa wewe inakupunguzia nini.

Watanzania wengi wamekaa kama wachawi wachawi hivi kama huyu mwenye theard.

Kushuka kwa mziki au kimaisha ni kawaida, lakini sio kukaa kuombea mtu ashuke ili mpate cha kusema...

Subirini ashuke muda ukifika atashuka tu na wenye nafasi yao watapokea kijiti.

Kuwa namba moja kwa muda haishindikani, ila kuwa namba moja milele ndio hakiwezekani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom