Jamani nimemshangaa sana Mh.Adam Malima,naibu waziri wa fedha akiona umuhimu wa kuifumua Sheria ya Manunuzi ambayo kwa maneno yake anasema imekuwa kongwe kwa miaka 10,akimaanisha sheria hii imepitwa na wakati hivyo iboreshwe.Ikumbukwe kuwa bunge imetunga Public Procurement Act No.7 of 2011 yenye Reguration ya 2013.Ambayo kwa mujibu wa tangazo la Dr.Likwelike wa PPRA,na Government notice no.445 of 13th December, sheria hii imeanza kutumika 15th December 2013.Sasa najiuliza je Malima pamoja na uwepo wake wizarani,hajui kuwa sheria hii ilishaboresha?
mbona hushangai slaa aliyekana kuwepo kwa kipengele cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chama ambacho yeye ndo mtendaji mkuu?
Adam tatizo lake anataka kuwa kama marehem baba yake...kweli ni kuwa hata robo hamfikii Kighoma.
Mtoto wa marehem Kighoma aliyerithi ule ubongo nI yulr alitekuwa Marekani.
Kitu kingine kinachoniudhi na huyu adam yeye kila wakati anaongea Ki Spanish...na mijisim yake 6 sasa kwa nini asinunue sim 2 za tripo line
Mwisho zaidi mimi siwezi kum sapoti adam kwa sababu anaipenda sana Arsenal clabu ambayo.ni ya ma failures.
Adam njoo manyuuu
mbona hushangai slaa aliyekana kuwepo kwa kipengele cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chama ambacho yeye ndo mtendaji mkuu?
hata mie naona ya kuwa amejitahidi. Labda mkuu okwi katika hilo suala asemalo kama kapotosha. Nimejaribu kumlinganisha na mwenzie mwigulu kwa kweli kamuacha mbali sana.
Mwiguli hoja zake sio constructive,yeye anajibu jumla jumla kama yuko kwenye mkutano wa siasa jukwaani. Halafu bado anaonyesha hana uelewa hata wa kile akizungumziacho ana changanyachanganya tuu.
Uteuzi wake una kasoro hasa katika kipindi hiki ambacho weledi unahitajika sana. Hivi kweli twaweza kumtuma mwigulu atuwakilishe kwenye mikataba ambayo wenzetu wana watu wajanja sana?
Sent from my ipad using jamiiforums
sio lazima unijibu,majibu haya mmepelekee mama ako.
Adam tatizo lake anataka kuwa kama marehem baba yake...kweli ni kuwa hata robo hamfikii Kighoma.
Mtoto wa marehem Kighoma aliyerithi ule ubongo nI yulr alitekuwa Marekani.
Kitu kingine kinachoniudhi na huyu adam yeye kila wakati anaongea Ki Spanish...na mijisim yake 6 sasa kwa nini asinunue sim 2 za tripo line
Mwisho zaidi mimi siwezi kum sapoti adam kwa sababu anaipenda sana Arsenal clabu ambayo.ni ya ma failures.
Adam njoo manyuuu
Jamani nimemshangaa sana Mh.Adam Malima,naibu waziri wa fedha akiona umuhimu wa kuifumua Sheria ya Manunuzi ambayo kwa maneno yake anasema imekuwa kongwe kwa miaka 10,akimaanisha sheria hii imepitwa na wakati hivyo iboreshwe.Ikumbukwe kuwa bunge imetunga Public Procurement Act No.7 of 2011 yenye Reguration ya 2013.Ambayo kwa mujibu wa tangazo la Dr.Likwelike wa PPRA,na Government notice no.445 of 13th December, sheria hii imeanza kutumika 15th December 2013.Sasa najiuliza je Malima pamoja na uwepo wake wizarani,hajui kuwa sheria hii ilishaboresha?
- Hoja yake ya msingi ni kwamba Sheria ifumuliwe upya haifai, sasa kosa lake ni nini hasa?
Le Mutuz System
mbumbumbu mwingine huyu hapa- Hoja yake ya msingi ni kwamba Sheria ifumuliwe upya haifai, sasa kosa lake ni nini hasa?
Le Mutuz System
relax man,mbona una-panic namna hiyo kusikia mzee wa gongo katajwa.
mbumbumbu mwingine huyu hapa
mbumbumbu mwingine huyu hapa,hajui hata source ya umbumbumbu unaozungumzwa- Hoja yake ya msingi ni kwamba Sheria ifumuliwe upya haifai, sasa kosa lake ni nini hasa?
Le Mutuz System
Mkuu kuwa na sauti ya ku command sio kigezo pekee cha kuwa waziri kamili,wote Mwigulu,Malima na hata mwanamke Saada mapovu yanawatoka tuu,hakuna la maana wanaloweza kutueleza wa Tanzania wa leo,Na huyo Zungu ndo kaongea ungese kabisa kuhusu sakata la UDA,
Watulie waone 2015 kitavonuka ndo akili zitawakaa watakapojikuta kwenye vizimba vya mahakama kisutu.
Mxuuuuuuuuuuuuuuu ccm...
Kosa lake ni kwamba wizara yake ndiyo inatakiwa ilete amendment or repeal ya sheria ya manunuzi. Hapa alitakiwa atoe taarifa ya hatua ambazo wizara yake imefikia ktk kuirekebisha na siyo kusema sheria inatakiwa kurekebishwa.
Tuondoe wote,tuweke wapya nyambafu
- Halafu tumpe Mnyika darasa la Saba?
Le Mutuz System