Adam Malima ni 'mbumbumbu?'

Adam Malima ni 'mbumbumbu?'

mbona hushangai slaa aliyekana kuwepo kwa kipengele cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chama ambacho yeye ndo mtendaji mkuu?

Jamani nimemshangaa sana Mh.Adam Malima,naibu waziri wa fedha akiona umuhimu wa kuifumua Sheria ya Manunuzi ambayo kwa maneno yake anasema imekuwa kongwe kwa miaka 10,akimaanisha sheria hii imepitwa na wakati hivyo iboreshwe.Ikumbukwe kuwa bunge imetunga Public Procurement Act No.7 of 2011 yenye Reguration ya 2013.Ambayo kwa mujibu wa tangazo la Dr.Likwelike wa PPRA,na Government notice no.445 of 13th December, sheria hii imeanza kutumika 15th December 2013.Sasa najiuliza je Malima pamoja na uwepo wake wizarani,hajui kuwa sheria hii ilishaboresha?
 
mbona hushangai slaa aliyekana kuwepo kwa kipengele cha ukomo wa uongozi kwenye katiba ya chama ambacho yeye ndo mtendaji mkuu?

sio lazima unijibu,majibu haya mmepelekee mama ako.
 
Adam tatizo lake anataka kuwa kama marehem baba yake...kweli ni kuwa hata robo hamfikii Kighoma.

Mtoto wa marehem Kighoma aliyerithi ule ubongo nI yulr alitekuwa Marekani.

Kitu kingine kinachoniudhi na huyu adam yeye kila wakati anaongea Ki Spanish...na mijisim yake 6 sasa kwa nini asinunue sim 2 za tripo line

Mwisho zaidi mimi siwezi kum sapoti adam kwa sababu anaipenda sana Arsenal clabu ambayo.ni ya ma failures.

Adam njoo manyuuu
 
Adam tatizo lake anataka kuwa kama marehem baba yake...kweli ni kuwa hata robo hamfikii Kighoma.

Mtoto wa marehem Kighoma aliyerithi ule ubongo nI yulr alitekuwa Marekani.

Kitu kingine kinachoniudhi na huyu adam yeye kila wakati anaongea Ki Spanish...na mijisim yake 6 sasa kwa nini asinunue sim 2 za tripo line

Mwisho zaidi mimi siwezi kum sapoti adam kwa sababu anaipenda sana Arsenal clabu ambayo.ni ya ma failures.

Adam njoo manyuuu

Khaa! Makubwa sasa
 
hata mie naona ya kuwa amejitahidi. Labda mkuu okwi katika hilo suala asemalo kama kapotosha. Nimejaribu kumlinganisha na mwenzie mwigulu kwa kweli kamuacha mbali sana.
Mwiguli hoja zake sio constructive,yeye anajibu jumla jumla kama yuko kwenye mkutano wa siasa jukwaani. Halafu bado anaonyesha hana uelewa hata wa kile akizungumziacho ana changanyachanganya tuu.
Uteuzi wake una kasoro hasa katika kipindi hiki ambacho weledi unahitajika sana. Hivi kweli twaweza kumtuma mwigulu atuwakilishe kwenye mikataba ambayo wenzetu wana watu wajanja sana?


Sent from my ipad using jamiiforums


huyu muulizeni masuala ya silaha za ak 47,kusahau silaha mahotelini , machangudoa .....kuchukua mademu wa udom...cbe ,st john etc ...kwenda south africa kwa majina ya kufoji, kustua majani ......pete za majini...na unafiki wa kujifanya mtu wa swala ..
Msimuonee mtoto wa watu kutegemea makubwa kutoka kwake ....hamumtendei haki ..
 
Adam tatizo lake anataka kuwa kama marehem baba yake...kweli ni kuwa hata robo hamfikii Kighoma.

Mtoto wa marehem Kighoma aliyerithi ule ubongo nI yulr alitekuwa Marekani.

Kitu kingine kinachoniudhi na huyu adam yeye kila wakati anaongea Ki Spanish...na mijisim yake 6 sasa kwa nini asinunue sim 2 za tripo line

Mwisho zaidi mimi siwezi kum sapoti adam kwa sababu anaipenda sana Arsenal clabu ambayo.ni ya ma failures.

Adam njoo manyuuu

We ndo failure na namba 7 yako,kombe la uhai lina timu chache safari hii kwann man u msiombe kushiriki angalau mpate mechi nyingi kidogo
Mtuache na Arsenal yetu miaka 900
 
Jamani nimemshangaa sana Mh.Adam Malima,naibu waziri wa fedha akiona umuhimu wa kuifumua Sheria ya Manunuzi ambayo kwa maneno yake anasema imekuwa kongwe kwa miaka 10,akimaanisha sheria hii imepitwa na wakati hivyo iboreshwe.Ikumbukwe kuwa bunge imetunga Public Procurement Act No.7 of 2011 yenye Reguration ya 2013.Ambayo kwa mujibu wa tangazo la Dr.Likwelike wa PPRA,na Government notice no.445 of 13th December, sheria hii imeanza kutumika 15th December 2013.Sasa najiuliza je Malima pamoja na uwepo wake wizarani,hajui kuwa sheria hii ilishaboresha?

akili ya huyo jamaa ni sawa naya aliyemteua
 
hii ni wizara nyet sna lkn ni ya wapuuz watupu kuanzia sada had huyu chemba kusanya na adam tena serikal hii kama kijiwe anayeweza kupaza saut juu ya wengine ndo hua mkulu wa kijiwe
 
- Hoja yake ya msingi ni kwamba Sheria ifumuliwe upya haifai, sasa kosa lake ni nini hasa?

Le Mutuz System

Kosa lake ni kwamba wizara yake ndiyo inatakiwa ilete amendment or repeal ya sheria ya manunuzi. Hapa alitakiwa atoe taarifa ya hatua ambazo wizara yake imefikia ktk kuirekebisha na siyo kusema sheria inatakiwa kurekebishwa.
 
relax man,mbona una-panic namna hiyo kusikia mzee wa gongo katajwa.

mi sipo JF kupet mtu,nipo kwa utashi wangu,jitu badala ya kujibu hoja linarukia mambo mengine mbali kabisa,kwa hiyo kama Dr.Slaa akikosea ndo kosa lake liwe justification ya wengine.nakusoma unajichekesha chekesha humu,ndicho ulichoijia
 
Mkuu kuwa na sauti ya ku command sio kigezo pekee cha kuwa waziri kamili,wote Mwigulu,Malima na hata mwanamke Saada mapovu yanawatoka tuu,hakuna la maana wanaloweza kutueleza wa Tanzania wa leo,Na huyo Zungu ndo kaongea ungese kabisa kuhusu sakata la UDA,
Watulie waone 2015 kitavonuka ndo akili zitawakaa watakapojikuta kwenye vizimba vya mahakama kisutu.
Mxuuuuuuuuuuuuuuu ccm...

Vijana wa dotcom wangekuwa wanajitambua kama wewe tungefanya mabadiliko makubwa sana ya kiuongozi no hapo ndo wangetutambua mbwa koko hawa!
 
Kosa lake ni kwamba wizara yake ndiyo inatakiwa ilete amendment or repeal ya sheria ya manunuzi. Hapa alitakiwa atoe taarifa ya hatua ambazo wizara yake imefikia ktk kuirekebisha na siyo kusema sheria inatakiwa kurekebishwa.

- Ok Sheria inasumbua kwenye kuisimamia ndio maana anataka Bunge lilrekebishe Sheria maana ndilo peke yake lenye maamuzi ya kurekebisha Sheria, sio Waziri Mdogo huenda huu umbumbu siku hizi umebadilika maana cause so far sijaona kosa lake la kumuanzishia lithread lizito namna hii nilidhani kuna hoja hapa kumbe ni zile zile ngonjera za kawaida za UKAWA!!

Le Mutuz System
 
Back
Top Bottom