Mtaisoma namba!
CCM mbele kwa mbele!
Mtaisoma namba!
CCM mbele kwa mbele!
Mtaisoma namba!
CCM mbele kwa mbele!
"In short Wadaganyika wengi hawajielewi wanataka nini. Umaskini wanaona ni haki yao wana macho lakini hawaoni.
Ukiangalia lower class ndo waathirika wakubwa kuanzia elimu mbovu, miundo mbinu muhimu ka maji, na health services ndo mbaya lakini wamejitoa ufahamu.
Mpaka Leo watoto wanakalia majiwa. Ni aibu sana kwa nchi yangu pendwa
Mawe nimeandka kuonyeshwa wingi tu."
Majiwe"???? au Jiwe!!!!
Nafikiri hapo sio pa kufanya siasa kama unatakwimu zinazopingana na hizo tuweke ili tujue unabisha kwa hoja au kwa mipasho.
Wataalamu wanasema takwimu upingwa kwa tamwimu.
Mi nawashangaa sana watanzania cjuimtumelogwa na nan Mungu wangu?nashangaa unakutana nalimtu linashabikia ccm afu ukiliangalia ni lijirani langu na nnalidai kodi afu mi mwenyewe nyumba nmeijenga kwakujiangaikia ktk shughulizangu zakiufundi ambazo nmeamua kujiatafutia baada yakukosakazi nikiombwa uzoefu baada yakutoka chuo,mi nmekichukia hikichama maana najiangaikia mwenyewe na nnauwezo wakula nyama kilacku kupitia kujiongoza nakazi yangu ambayo haina muwakilishi hata mmoja bungeni yaufundi ujenzi ambayo inapelekea wageni wachina kutupangia kias chafedha wanachotakawao watulipe nasi tumekubali kwasababu,tumekosa serikeli yakulicmamia hili afu leo nalikuta limtu limekomaa nje ya nyumbayangu linaifurahia serikali ya majambazi ambayo watotowao hatujui wamefanyakazi wapi nakujipatia miutajiri waliyonayo,Mungu mmoja nalipa notis leoleo likalale kwamagufuli na chama chao,coz c kinamfaa?
Mi nawashangaa sana watanzania cjuimtumelogwa na nan Mungu wangu?nashangaa unakutana nalimtu linashabikia ccm afu ukiliangalia ni lijirani langu na nnalidai kodi afu mi mwenyewe nyumba nmeijenga kwakujiangaikia ktk shughulizangu zakiufundi ambazo nmeamua kujiatafutia baada yakukosakazi nikiombwa uzoefu baada yakutoka chuo,mi nmekichukia hikichama maana najiangaikia mwenyewe na nnauwezo wakula nyama kilacku kupitia kujiongoza nakazi yangu ambayo haina muwakilishi hata mmoja bungeni yaufundi ujenzi ambayo inapelekea wageni wachina kutupangia kias chafedha wanachotakawao watulipe nasi tumekubali kwasababu,tumekosa serikeli yakulicmamia hili afu leo nalikuta limtu limekomaa nje ya nyumbayangu linaifurahia serikali ya majambazi ambayo watotowao hatujui wamefanyakazi wapi nakujipatia miutajiri waliyonayo,Mungu mmoja nalipa notis leoleo likalale kwamagufuli na chama chao,coz c kinamfaa?
Kuna wakati huwa Sioni umuhimu wa kuwapigania hawa maskini,wanaboa sana
Upinzani mnawayawaya sana mfano ni wewe mleta sledi sasa ngojeni nyundo za ugoko zinakuja Oktoba,hamtaamini.,,,Kweli JPM kawashika pabaya hadi nakuoneeni huruma.
nahisi wewe hauko sawa kiakili tena mawazo yako Ni mgando na Ni mmojawapo unaepata mgao fisadi, mtu kwenye akili timamu awezi kumchagua fisadi tena. Haya nishawishi kidogo mazuri ya chama chenu cha majambazi ( ccm)
umeshindwa kujenga hoja,ukaanza kwa kunitusi,labda urejee tena bila matusi,mstaarabu hatukani hizo ni dalili za kushindwa kama sio kushindwa kwenyewe.