Recent content by issadeus27

  1. issadeus27

    Hospitali ya rufaa kitete yatangaza ajira 126 za mkataba kwa wataalamu wa afya mbalimbali

    Mbona kitengo kinaonekana kimoja tu unaweza kusaidia kuweka nakala zote kwa manufa.ya jobless wenzangu [emoji56]
  2. issadeus27

    Soma hapa ukweli mchungu unaotakiwa kuufahamu kama Mtanzania

    My country........[emoji3578] [emoji29][emoji29]
  3. issadeus27

    Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

    Angalia vizuri anaweza kuwa kachomwa mwiba. Au kisiki kagua kwato vizuri
  4. issadeus27

    Miaka 400 ya utumwa wa mtu mweusi. Kama kuna "divine justice" ya mnyonge kwa nini ishuhudie tabu hio ya muda mrefu sana.

    Ubinafsi na uroho wa madaraka ndio kinachotuponza Inatakiwa vitengo vya siasa na vingine huko juu vipunguziwe masrahi kwa sana ili watu wafilikie kuja kwenye kilimo na sekta zingine binafs kuliko kutolea macho mifumo rasmi na siasa halafu sekta muhimu kama kilimo inaonekana kama vile ni chaguo...
  5. issadeus27

    Miaka 400 ya utumwa wa mtu mweusi. Kama kuna "divine justice" ya mnyonge kwa nini ishuhudie tabu hio ya muda mrefu sana.

    Upo sahihi na vitu vipo wazi kabisa na hata kama nchi tukaamua kuanza leo win- win situation ipo upande wetu Mfano: Sukari,mafuta ya kula na ngano ni vitu ambavyo vipo imported kwa kias kikubwa sana lakin naamini tukiamua kwa mazao hayo kama nchi tunaweza kuwekeza kwa muda mfupi sisi ndio tukawa...
  6. issadeus27

    Miaka 400 ya utumwa wa mtu mweusi. Kama kuna "divine justice" ya mnyonge kwa nini ishuhudie tabu hio ya muda mrefu sana.

    Why not#Kwani swala alipenda kuumbwa swala ili aliwe na simba mkuu[emoji3][emoji3][emoji3]?
  7. issadeus27

    Miaka 400 ya utumwa wa mtu mweusi. Kama kuna "divine justice" ya mnyonge kwa nini ishuhudie tabu hio ya muda mrefu sana.

    Nafikiri pia inaweza kuwa "nature" ili amua ili kubalance ecology ya Ulimwengu. Vipi kama mbugani swala angepewa uwezo wa kumla simba na simba kumla swala... Au wote ingebidi wale majani nafikiri balance ya maisha usingekuwepo na huwenda maisha yangekuwa ni taabu kubwa kuliko ilo sasa kwa...
  8. issadeus27

    CCM ndani ya viwango vya mishahara (Salary Scales) huwa mnaweka nini??

    Samahani Kama kuna mtu amewahi muajiri mtu kwa kazi yoyote ya shamba , mifugo au kazi za ndani huwa anazingatia nini kwenye makadirio ya mshahara!!!! Je utaangalia ni vipi anaishi umlipe shilingi ili amudu maisha yake akiwa anafanya kazi yako?? Au utaangalia kwa hilo eneo atakalo kiwepo lina...
  9. issadeus27

    Malipo/michango isio takiwa kulipwa lakin watz tunalipa bila kuhoji kwa sababu ya woga

    Hapana mkuu Tuthamini alicho Kilenga mtoa maada kajitahidi kufikiri kutoka nje ya box
Back
Top Bottom