Mtaalamu wa mifugo (Dr. by Veterinarian): Karibuni kwa ushauri, tiba na dawa za mifugo tu

Mkuu kuhusu mbwa yapo mambo kadhaa yatakusaidia!
Jambo la kwanza chukua jumba la manyigu Lile dubwasha linalokaa manyigu Yale yanayo ng'ata kama nyuki hrf changanya kwenye chakula Cha mbwa piga dozi mara 4 Kwa mwezi mmoja inamaana Kila wiki weka mara moja au hata mara mbili ikiwezekana,,
Pili,, hakikisha mbwa anafugiwa mazingira ambayo haonani na mtu kabisaaa yaan mfungie Kwa tiba mwez mmoja bila kutoka nje ya Banda hrf Kila wiki unamchapa viboko kadhaa Hilo litamfanya Kila akimuona mtu ahisi anakuja kumchapa,weka mazingira kwamba unamfungulia usiku tuuu kuanzia saa Tano na kumrudisha bandan saa 0530 alfajir.
Tatu.. mpe nyama mbichi yenye pilipili nyingi hasa akiwa na njaa Kali angalau mara moja moja Kwa wiki! Fungia mbwa wako muda mwingi Banda liwe mbali na makazi ya watu wengine mnyime uhuru hrf uwe unapata muda wa kumpiga usafii,tiba zake zote na mazoez! Mzee ukizingatia hayo hakuna atakae gusa hata mpakan mwa nyumba,uzio au shamba kwanza atakuwa na uwezo na uwezo mzuri wakunusa kuanzia MITA 70 anahis hatari bilashida
Nashukuru sana mkuu nimeelewa vyema wacha nifuate hayo .
 
Mkuu samahani niliwapa kuku wangu wakubwa tylodox 200 japo si Kwa kuzingatia sana kwa kusuasua sasa nataka kesho nimchinje mmoja kwa kitoweo, kitaalam vipi naweza nikamchinja?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom