Recent content by issa saika kabuka

  1. issa saika kabuka

    Jua furaha yako iko wapi, itafute

    Kuishi maisha yako ni furaha tosha.....Haijalishi unakula nini na unalala wapi.......Kufanya kile wanachokiogopa wenzako ndio unajenga ulimwengu wako....kuwa wewe na sio yule au wale....
  2. issa saika kabuka

    Kwanini wasichana wa siku hizi hawajui kucheza Muziki hata wakiwa chumbani?

    Kuwasaidia kwa wale ambao wako hivyo....."Msaada wa kuwa pigisha jaramba kabla ya tukio itasaidia" kwa kuzingatia aina yenyewe ya sherehe.
  3. issa saika kabuka

    Halotel ni kiboko kwa internet speed

    Sema watu hawafuatilii...holotel anavuta ikifika muda ata drop...kwa kuwa teyari amekuza database..Voda, Airtel na tigo speed ipo ila inategemean ana kiasi unachochuku...
  4. issa saika kabuka

    Mwenye CV ya Mrisho Mpoto

    Mara ya mwisho kukutana naye....alisema mwenyewe "hajafika secondarily wala kusoma sana kama watu wanavyodhani,zaidi ya elimu yake ya Msingi...iliyo mpelekea kukaa tu katika hostel za Udsm ama mlicty Mara baada ya kutoka nymbn...alipoanza kutanua na kuongeza ujuzi akiwa hapo"""" #source >>>Fursa...
  5. issa saika kabuka

    Diwani wa Kigogo: Dar hakuna Panya Road, Mbwa Mwitu wala Watoto wa Mbwa

    Safi Kanchabasata.... Tumechoka kubuluzwaaa...
  6. issa saika kabuka

    TAHADHARI: Ugonjwa wa 'dengue' waingia Dar es Salaam!

    itakuwe wenye pia inasemekana hauna dalili zote zile..
  7. issa saika kabuka

    Talk show on ujasirimari on dstv 284

    Hamna noma kwanza nitafute na vitendea kazi,karam ya wino na daftari,
  8. issa saika kabuka

    Naweza ripoti wapi taarifa za raia wa nje asiyeish hapa TZ kialali

    Kuwa na ushahidi wa uhakika ni jambo Jema,lakini kama unabashiri yatarudi kwako japo Kuwait unaipenda asili yako na wapendwa wako,pia kumbuka utakuwa shahidi wa jambo hilooo,,
  9. issa saika kabuka

    Ushauri kuhusu biashara ya bisi

    Itakuwa vyema ukiajiri MTU kwakuwa itakusaidia kuwa na vyanzo vya mapato tofauti na wewe kutoacha kazi uliyo ajiriwa..
  10. issa saika kabuka

    Ooh! Baby, Oooh! Baby

    Kweli ni nzuri tena sana japo Kuwa malengo yake yalikuwa kama kweli ni kumuimbia Mtoto.?au laah!
  11. issa saika kabuka

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Kwakipindi hiki,,inawezaikawa vizuri zaidi ukawekeza kwenye kilimo,,kwasababu asilimia kubwa ya kipind hiki kuna Huduma muhimu kwa wakulima,kwa mfano mbolea,pembejeo n.k,ukazisogeza sehemu husika.japo sjajua gharama kwa mfuko na huduma nyingine.
  12. issa saika kabuka

    Unaweza ukaanza biashara bila mtaji..

    Walimu wote wangekuwa hi yo sizani kama tungefahulu,,japo ni wakali wanatia lugha nzuri kwa wanafunzi wao...
Back
Top Bottom