Recent content by Islam

  1. I

    Nafasi za kazi, banking officers NMB Plc

    Sii kweli...hiyo ni rank kuanzia 100% kwenda chini...let's say watu 54 wamepata 100%,kuna mmoja atasomeka rank ya 54
  2. I

    Nafasi za kazi, banking officers NMB Plc

    Umesomeka mkuu
  3. I

    Nafasi za kazi, banking officers NMB Plc

    Namuomba yule aliesema kaletewa aptitude test 2, aje afafanue.maana mpaka sasa in yeye pekee kapiga aptitude test 2. Huyo huyo ameweza kubadili matokeo tens kwa kufanya kanda nyingine.Huyu mtu kanichanganya
  4. I

    Nafasi za kazi, banking officers NMB Plc

    Kama hakuna aliefika 85???!!!!!...
  5. I

    Tahadhari: Huu ni msimu wa nyoka!

    Ubarikiwe kwa ukumbusho...
  6. I

    Yaliyomkuta Bangosilo ni funzo kwa mimi na wewe

    Story nzuri sana kwakweli imenigusa, uwe na moyo huo huo mkuu wa kusaidia watu, na Mungu atakuinua zaidi.
  7. I

    Tuliowahi kupata pesa na kufilisika/kufulia, tujikumbushe hapa

    Mushi92, Omba sana Mungu, na ufanye bidii kwenye shughuli zako za kila siku
  8. I

    Nilichojifunza ndani ya mwaka mmoja bila ajira

    Unachokifanya leo, sio lazima kikulipe leo. Subira ni kitu muhimu na Mungu yu pamoja na wenye subira, kujitoa na kuwa committed kwa kile unachokifanya ndio msingi wa mafanikio yako ya kesho. Stay calm and positve, Good results will come.
  9. I

    Ebitoke amletea fujo Yusuph Mlela kwenye mkutano, mabaunsa wamdhibiti

    Ila mapenzi ni makubaliano ya watu wawili, mmoja yakimshinda na akaamua kuchukua hamsini zake sio tatizo. kaka wa Ebitoke hajui makubaliano ya wawili hawa, alitakiwa awe ndugu mtazamaji tu
  10. I

    Ushindi mtamu ni ushindani katika uwanja sawa, sio ule wa mezani. Magufuli, kasi yako ni ushindi wa kishindo. Ruhusu ushindani wa haki, sawa na wazi

    Tanzania ni nchi ya kidemokrasia, tukiacha mihimili ya kidemokrasia (Pillars of Democracy) ifanye kazi yake, hatutoweza kupata malamiko kutoka upande wowote juu ya kutokutendewa haki. Sababu wapiga kura watachagua na kupata wawakilishi wanaowapenda.
  11. I

    Muammar Gaddafi

    Alifanya makubwa sana, a true definition of A very good and atractive history...
  12. I

    Kuhusu ku-certify vyeti

    Angalia wasikupeleke chaka,,,kwanza wajue kutofautisha academics attachments na other attachments,sasa vyeti ushacertify unaweka kwenye other attachment ili iweje wakati kuna sehemu ya kuattach academic certificates,attach izo certified doc kwenye academic according to category kama ni chuo...
  13. I

    Msaada kwenye public service recruitment portal

    Acha kupotosha watu, wanaofika asilimia mia no wale wanaosomeka wana professional flani, ambapo ukijaza kipengele cha professional qualification na kwengine umejaza vizuri ndio inafika 100% otherwise haifiki mia...na nakumbuka walisema 75% ikisoma haina shida.
  14. I

    Jambo la kustaajabisha nililokutanala nalo katika kutafuta kazi

    Acha uwongo. ...call center agent ni laki 4
Back
Top Bottom