MESHACK WARIOBA
JF-Expert Member
- Mar 29, 2017
- 1,068
- 1,174
Mkuu kwani ungesema hufahamu/huna uhakika ingekuaje? Tuwe tunawapa watu taarifa sahihi ili tuwasaidie.Haiwezi fika asilimia miamoja
Mkuu kwani ungesema hufahamu/huna uhakika ingekuaje? Tuwe tunawapa watu taarifa sahihi ili tuwasaidie.Haiwezi fika asilimia miamoja
Mkuu kwani ungesema hufahamu/huna uhakika ingekuaje? Tuwe tunawapa watu taarifa sahihi ili tuwasaidie.
Sawa mkuu nimeiona, Ila concern yangu Ilikuwa kwenye statement tu. As long ume-declare; Basi tuendelee jukwaani mkuu hakuna shida kuu. Ni kujengana tu.so pitia comment nyingine b4 hujacritesize
Sawa mkuu nimeiona, Ila concern yangu Ilikuwa kwenye statement tu. As long ume-declare; Basi tuendelee jukwaani mkuu hakuna shida kuu. Ni kujengana tu.
Naomba kujua kama mtu ameshajaza taarifa zake zote na bado system haikubali kuaply inatoa incomplete profile inatakiwa nifanyeje?kwani ikifika mia ndio unaajiriwa mm mbona nimeajiriwa kwa 60%
Kwenye kuambatanisha vyeti kuna error inatokea vinagoma ku-uploadNaomba kujua kama mtu ameshajaza taarifa zake zote na bado system haikubali kuaply inatoa incomplete profile inatakiwa nifanyeje?
Ni kweli inawezekana umejaza detail zote sasa tatizo la system kutokubali ni kwa sababu profile yako haijafikia asilimia 70, Hivyo,unatakiwa kurejea kwenye portal sehemu ya Academic Qualifications na kuhakiki kama utakua umeweka vyeti vyote, hakiki vyeti vyako kimoja baada ya kingine unaweza kukuta baadhi ya vyeti hujaviambatisha kwenye mfumo. Endapo tatizo hilo litaendelea tafadhali usisite kuwasiliana nasi kwa simu namba 0687624975 kwa maelekezo zaidi.
Mkuu Itakuwa vyema kama utaweka Error message hapa, ili kama kuna aliyewahi ku-experience the same problem itakuwa rahisi kuifahamu, kuliko ukisema kuna error bila message inakuwa ngumu, maana mifumo ya TEHAMA error ni nyingi kulingana na tatizo na solution zinakuwaga tofauti tofauti kulingana na error message iliyo display.Kwenye kuambatanisha vyeti kuna error inatokea vinagoma ku-upload
Weka screenshotNimeupload vyeti lakini kuvisevu mfumo unagoma kabisa. Inauma sana, basi tu.
Bila 100 huitwi mkuu, jaza hata taarifa zisizo na umuhmu