Recent content by ishiveti

  1. I

    Waziri Mkuchika: Hatutapandisha mishahara (ya watumishi wa umma), tunafanya uhakiki wa umri

    si waandamane kama wanaona hawatendewi haki,,,,haki hailetwagi mezani inatafuta ,,,na haki yako ujue inapunguza keki ya mtu mwengine so msuguano lazima uwepo,,,,,hata uhuru damu zilimwagika
  2. I

    Calculations: Kibarua muosha magari anapata fedha nyingi zaidi kuliko hata Engineer wa Serikali

    unaangalia kwa udogo sana,,,huyo mhandisi kamzidi mara nyingi sana,,,,angalia afya,,nyumba,,,pension...mikopo....na faida nyingine nyingi,,,kibarua siku akipigwa chin akiumwa inakuwejee
  3. I

    Kwa nini watengenezaji wa iphone wanashindwa kutengeneza good batteries kama za Tecno?

    kila mtu ananunua sim kwa matumizi flan,,,huku kwetu matumizi ya sim kuchat na kutuma picha wakati wenzetu karibu application zoote wanatumia,,,sasa hapo tunaangali speed ya sim,,,kuna sim kwenye internet page ya google au u tube inachukua nusu saa kufunguka,,,na mengine mengi,,,
  4. I

    Mashine ya juice ya miwa

    unapatikana wapi na duka lakoo
  5. I

    Tunapangisha Nyumba Kinondoni A

    ukikaa kimya utaepusha aibu,,,kwa maneno yako tu ushaonesha wewe mtu wa aina gani,,,jitahid sana kupuuzia vitu visivyo na msinga au maana kuvijibu
  6. I

    Wale mliowahi kuagiza magari online

    almost same as the CIF price
  7. I

    Nahitaji gari Raum,Spacio au IST

    kama una 11m nipm kuna ist matata
  8. I

    What's your favorite Movie Line or Quote?

    ,,,you dont know what kind of traitor she may hatch.....lord arch,,,,,game of thone
  9. I

    What's your favorite Movie Line or Quote?

    mmmhh,,,ilinisisimua sana
  10. I

    What's your favorite Movie Line or Quote?

    a dwarf is a bastard in front of his fathers eyes...game of throne,,,
  11. I

    Wema kafanya birthday ya 30 bila zawadi ya gari, Zari kanunua Benzi mpya

    mbona ni wanaume wamemkumbatia kwa style za ajbu ajabu
  12. I

    Jenerali Ulimwengu: Rais ataepukana na kiburi ikiwa atakubali kujishusha

    hajawatetea alisema sheria ifuatwe,,,alisema kama kweli wazuiliwe kuchukua dhahabu na mikataba irekebishwe,,,jamen watu hawa ndo walikua wapiga kelele wizi wa madini leo wamekua wasaliti....we need national reconciliation,maadui zetu wametugombanisha ili tusijue nani adui yetu
  13. I

    Jinsi ya kuzuia harufu mbaya kwenye mapumbu

    ukitoa hazioti nywele ngumuu zikanikeraaaaa
  14. I

    Niulize chochote kuhusu Mfamasia na madawa

    hello nimekua natumia gentrsone usoni kwa muda ,,kila nikiacha napata muwasho na uso unaharibikaa,,nifanyeje naona ishakua addiction,,,ila nkipaka uso unakua nyororo sana sema nimechoka nataka kuwa natural...
  15. I

    Jinsi ya kuzuia harufu mbaya kwenye mapumbu

    sifikii na sijapata wa kunyoaa jameni...hahahhaa ww ni shidaaa
Back
Top Bottom