Mtu-Pori
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 1,255
- 1,350
Hatukosea kwenye invoice kwa sababu custom value (CIF) haikuzidi CIF ya gari. Labda kama unazungumzia kuchakachua invoice ambayo bad isingesaidia. Custom Value (bei elekezi ya TRA) ilikuwa $2145, mie nililinunu kwa $1900.pole agent wako alikua kilaza..next time nambie nikupe agent,,,akikosea kwenye invoice submission tu umeliwaa