Tunapangisha Nyumba Kinondoni A

Tunapangisha Nyumba Kinondoni A

Kuna dada anataka Sasa Mimi Niko hapa ananasif
 
ukikaa kimya utaepusha aibu,,,kwa maneno yako tu ushaonesha wewe mtu wa aina gani,,,jitahid sana kupuuzia vitu visivyo na msinga au maana kuvijibu
Sawa mkuu acha nijifunze upole na asnte kwa ushauri
 
Wewe ni mbwa mjinga na punguani,Wala hata mimi hunijui kwahyo sio vema kusema nimeweka tangazo la utapeli, utatepiliwa nn sasa kama sio uchizi nn!

Unatangaza halafu una maneno machafu hivi.. duh!!
Unaogopesha wateja wa leo, kesho na keshokutwa au hujui!?
Pia unaonyesha kama vile kuna mapungufu hujayaandika pia juu ya tangazo lako.
 
Unatangaza halafu una maneno machafu hivi.. duh!!
Unaogopesha wateja wa leo, kesho na keshokutwa au hujui!?
Pia unaonyesha kama vile kuna mapungufu hujayaandika pia juu ya tangazo lako.
...duh.,hii akili umemuazima nani leo;
..saa mbovu imepatia majira dadeki!
 
Acheni ujinga kwa hiyo jamaa asimjibu mtu kisa tu anatangaza biashara??? Mtu akitoa shombo anapakwa shombo unaanzae kumwita mtu tapeli ilihali hata hujamjua vzr? Msongo wa kutokua na pesa usiwatoe ufahamu
 
Huyu jamaa jeuri balaa, hahahha
Inaezekana ukapanga kwake afu akawa anakukopesha na hela ya kulipa kodi
[HASHTAG]#ndindindi[/HASHTAG]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom