usijifanye mtumwa kwa ajili ya penzi, mke kukupa penzi ni haki yako na yeye ni haki yake kupata toka kwako, na wewe pia ni chombo chake. Usimwone kama yeye ni chombo tu.
Hata habari za upinzani hawaandiki, wamepangua utaratibu wote wa alio uacha bwana Tido kisa hakuipa shavu ccm wakati wa uchaguzi. Mambo yote yataenda safi ikiwa wananchi tutakua na nguvu ya pamoja. Na muda huo hauko mbali.
Nimekusoma kaka, membe yuko aliko kua jk huo msala ni wa jk. uk kesi ilikua kama binti, wametongoza mpaka wakaoa leo membe mtto wake? Kama mi namwambia alikua wapi wakati binti kigoli?
Nimekupata mkuu mi binafsi hili jambo lanikera sana tena sana kutokana na mpango wa ccm kuiua cdm kwa style ya propaganda, napenda kuwashauri vijana wenzangu wa kiislam na wa kikristo wawapuuze hao waeneza uzushi ni sumu mbaya sana itaturudisha nyuma, na hizi ni dalili mbaya kwa uhai wetu cdm ni...
ni kweli hiki chama kimekuwa na mweleko wa kutisha, hiki chama hapo mwanzo kililingana na cha kanu kenya na kwa sasa naona pia hakina tofauti na kanu kenya. Nakumbuka hapo nyuma ccm walikua wakienda zimbabwe kwa kampeni za mugabe baada ya zanu pf kuporomoka sasa wako kimyaa!! Nadhani sasa zamu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.