TBC ifutwe, ni ufisadi mtupu

Ntemi Kazwile

JF-Expert Member
May 14, 2010
2,182
307
Katika tukio la mauaji yaliyotokea Tarime (North Mara Mine) shirika la utangazaji la taifa limeonyesha mapungufu makubwa na kupoteza kabisa umuhimu wa kuwepo kwake, kwa siku mbili mfululizo wametoa kwenye taarifa zao za habari (prime time) za saa mbili kuhusu tukio hili lakini cha ajabu hakuna hata sehemu moja ambapo wamewapa fursa waathirika kueleza upande wao wa habari, kwa siku zote wamemnukuu Kagasheki na Kamanda wa polisi lakini hakuna sehemu yoyote ambapo wamewanukuu wanaotuhumiwa kuvamia mgodi ili nao watupe upande wao lakini hilo halijatokea.

Kwa mtazamo wangu TBC imegeuka kuwa chombo cha wanasiasa walioko madarakani (CCM) na si cha watanzania kama ambavyo sababu za kuundwa kwake zinaeleza, kwa hiyo uendeshaji wa chombo hiki kuendelea kugharimiwa na watanzania wote ni UFISADI, ni bora basi CCM wakakichukua na kulipia uendeshaji wake kwa sababu kinaendeshwa kwa matakwa ya CCM siyo watanzania wote!
 
haisee ni kweli hawa tbc wanaboa sana na wamesababisha watu wengi kuwa na chuki dhidi yao angalieni nyie tbc siku si nyingi mtajwa piga mawe
 
Hata habari za upinzani hawaandiki, wamepangua utaratibu wote wa alio uacha bwana Tido kisa hakuipa shavu ccm wakati wa uchaguzi. Mambo yote yataenda safi ikiwa wananchi tutakua na nguvu ya pamoja. Na muda huo hauko mbali.
 
Katika tukio la mauaji yaliyotokea Tarime (North Mara Mine) shirika la utangazaji la taifa limeonyesha mapungufu makubwa na kupoteza kabisa umuhimu wa kuwepo kwake, kwa siku mbili mfululizo wametoa kwenye taarifa zao za habari (prime time) za saa mbili kuhusu tukio hili lakini cha ajabu hakuna hata sehemu moja ambapo wamewapa fursa waathirika kueleza upande wao wa habari, kwa siku zote wamemnukuu Kagasheki na Kamanda wa polisi lakini hakuna sehemu yoyote ambapo wamewanukuu wanaotuhumiwa kuvamia mgodi ili nao watupe upande wao lakini hilo halijatokea.

Kwa mtazamo wangu TBC imegeuka kuwa chombo cha wanasiasa walioko madarakani (CCM) na si cha watanzania kama ambavyo sababu za kuundwa kwake zinaeleza, kwa hiyo uendeshaji wa chombo hiki kuendelea kugharimiwa na watanzania wote ni UFISADI, ni bora basi CCM wakakichukua na kulipia uendeshaji wake kwa sababu kinaendeshwa kwa matakwa ya CCM siyo watanzania wote!

Kama taarifa ya jana kwa kweli ilibore na kwa mtu aliyeangalia taarifa ya jana unajua kwa kweli kuna kitu gani TBC wanaficha maana ilinunukuu kabisa kuwa kuna mbunge wa chama cha upinzani ambaye alisababisha tafrani hiyo.Hawajaonyesha kabisa wala kuwahoji waathirika ni nini kilisababisha mpaka hayo yatokee.Wangewahoji wangeweza kupata taarifa ya nini kilisababisha ila taarifa wanazotumia ni za upande mmoja tuu wa Serikali kusema wale walikuwa wahalifu
 
TBC ni ya ccm si ya serikali ndiyo maana wanachakachua habari zote zinazohusu matokio yanayoweza kuwaadhiri.






Katika tukio la mauaji




yaliyotokea Tarime (North Mara Mine) shirika la utangazaji la taifa limeonyesha mapungufu makubwa na kupoteza kabisa umuhimu wa kuwepo kwake, kwa siku mbili mfululizo wametoa kwenye taarifa zao za habari (prime time) za saa mbili kuhusu tukio hili lakini cha ajabu hakuna hata sehemu moja ambapo wamewapa fursa waathirika kueleza upande wao wa habari, kwa siku zote wamemnukuu Kagasheki na Kamanda wa polisi lakini hakuna sehemu yoyote ambapo wamewanukuu wanaotuhumiwa kuvamia mgodi ili nao watupe upande wao lakini hilo halijatokea.

Kwa mtazamo wangu TBC imegeuka kuwa chombo cha wanasiasa walioko madarakani (CCM) na si cha watanzania kama ambavyo sababu za kuundwa kwake zinaeleza, kwa hiyo uendeshaji wa chombo hiki kuendelea kugharimiwa na watanzania wote ni UFISADI, ni bora basi CCM wakakichukua na kulipia uendeshaji wake kwa sababu kinaendeshwa kwa matakwa ya CCM siyo watanzania wote!
 
Baada ya Tido TBC imekuwa inaboa kupita kiasi,sijui huyu Mshana kama atakuwa na jipya,kodi zetu zinapotea bure kabisa.
 
SIoni umuhimu wa hiki kituo hasa ukichukulia kinaendeshwa na kodi za wa Tanzania
 
wapo kwenye kuandaa kumbukumbu za kitchen party,toka lin tv ya taifa na mambo hayo.wao jukumu lilitakiwa n taarifa za habar tu za sehemu mbalmbal,tatizo la nch n mfumo yaan polis,magereza,jwtz wote wauza mayai je?kaz za jesh watazifanya wakat gan?vijana tuamuke kuweka mfumo wa kaz za kila sekta.
 
wao si wanafanya kazi kwa intersest za ccm,wanaripoti taarifa ya kagasheki ambaye hata huko hajafika,Lema ndio kaenda huko kuona halisi kama waziri kivuli mambo ya ndani kutoka kambi ya upinzani,wanatumia kodi zetu kufanya kazi za chama cha mapindunzi haki ya kupata habari ni ya kila mtanzania
 
Siku zote unapotoa habari hakikisha unaweka usawa ili wananchi wajue kilichojiri na wawe waamuzi wazuri.Sasa TBC kazi yao ni kupendelea upande mmoja(kwa kutoa habari zinazoibeba Serikali ya ccm ambayo kila siku utendaji wake unashuka(mmbovu mno)Sikumbuki vizuri Ila yupo kiongozi mmoja wa Serikali alipohojiwa alisema kipo chama cha upinzani ndicho kilichochea vurugu zile ila hakukitaja(me nnaona wanaweweseka).Hivi kweli chama na viongozi wake kinaweza kuchochea wananchi wakavamie mgodi kweli?Kama sio mikataba mibovu iliyoingia Serikali na Wawekezaji ndio chanzo cha yote hayo ikiwa ni pamoja na Serikali kuziba masikio juu ya malalamiko ya wananchi wake.HAKUNA ASIEJUA CCM INAKUFA sasa kama ccm mnakufa kisiasa nnaomba msife na vyama vingine sbb nyinyi wenyewe ndio mmelikoroga(kushindwa uongozi bora),tuachieni Tanzania yetu
 
Mimi niliishaacha kutazama TBC muda mrefu. Nilikuwa mpenzi sana wa TBC enzi za Tido Mhando lakini tangu aondoke nilianza kuona mabadiliko katika vipindi vyake ambavyo sasa taarifa zake za habari siyo balanced. Fuateni nyayo zangu. Achana na TBC!
 
Nafasi yao sasa inachukuliwa tena na ITV, balance yao ya habari anagalau unaweza kuivumilia na sio hawa TBC1, yaani ukiwaangalia mipesa wanayolipwa kwa mishahara unaweza ukadhani akili zao wanazitumia kwa faida ya wanaowalipa na haki kwao binafsi.
Wao wanadhani ccm ndo wanaowalipa na ndiyo maana hata katibu wa ccm akicheka nayo inawekwa katika habari saa mbili nyambafu wakubwa hawa
 
Wakubwa hii tbc si ya kuangalia kabisa,wanakwenda kwenye mikutano ya wakubwa na kuwanukuu bila kuhoji chochote hawana tofauti na uhuru fm siwapendi au nao tuwaite uhuru tv.jamani tuwapongeze itv kwani wameonesha live wakati mbunge anafika,anafukuzwa,unapigwa mawe msafara na pia wakawahoji wananchi.je hii ni tv ya kichaga?naomba waheshimiwa viongozi wa chadema mnijibu ni lini mtakuwa na vyombo vyenu vya habari,kama magazeti,redio na tv?tunapata shida kujua habari.big up.
 
TUANDAE MAANDAMANO YA KUPINGA UCHAKACHUAJI UNAOENDELEA TBC(vilevile tutake huyu mkurugenzi mpya ajiuzuru). IKISHINDIKANA KWA MAANDAMANO, TUTAANZA KUPIGA MAWE WAANDISHI WA TBC KILA WATAKAPOONEKANA.
 
pole kaka kama ulikuwa hujui kama TBC ni ya ccm, kinachosikitisha ni pale inaendeshwa kwa pesa ya watz wavuja jasho, hiyo ndo Tz yetu bana au vp, but their days are numberd, time soon will tell.
 
Wakubwa hii tbc si ya kuangalia kabisa,wanakwenda kwenye mikutano ya wakubwa na kuwanukuu bila kuhoji chochote hawana tofauti na uhuru fm siwapendi au nao tuwaite uhuru tv.jamani tuwapongeze itv kwani wameonesha live wakati mbunge anafika,anafukuzwa,unapigwa mawe msafara na pia wakawahoji wananchi.je hii ni tv ya kichaga?naomba waheshimiwa viongozi wa chadema mnijibu ni lini mtakuwa na vyombo vyenu vya habari,kama magazeti,redio na tv?tunapata shida kujua habari.big up.

Inayotoa vibari sasa ni CCM subiri ikifa tu vibari vya Chadema kupata vyombo vya habari vitapatikana.
 
TUANDAE MAANDAMANO YA KUPINGA UCHAKACHUAJI UNAOENDELEA TBC(vilevile tutake huyu mkurugenzi mpya ajiuzuru). IKISHINDIKANA KWA MAANDAMANO, TUTAANZA KUPIGA MAWE WAANDISHI WA TBC KILA WATAKAPOONEKANA.

Mkuu mapendekezo yako yamejaa hekima: HAKI HUTAFUTWA, haiji kama mvua au hewa tunayopumua. Lazima tuwalazimishe kuwa chombo chetu, mimi binafsi nalipa zaidi ya milioni 15 (hapa sijajumlisha kodi zilizofichwa kama vile VAT na kodi zingine zilizofichwa) kwa mwaka kuchangia shughuli za serikali na ningependa kupata zaidi ... barabara mbovu, umeme haupatikani, hospitali hakuna dawa, hata habari sahihi nisipewe? I SAY NO!
 
Mkuu mapendekezo yako yamejaa hekima: HAKI HUTAFUTWA, haiji kama mvua au hewa tunayopumua. Lazima tuwalazimishe kuwa chombo chetu, mimi binafsi nalipa zaidi ya milioni 15 (hapa sijajumlisha kodi zilizofichwa kama vile VAT na kodi zingine zilizofichwa) kwa mwaka kuchangia shughuli za serikali na ningependa kupata zaidi ... barabara mbovu, umeme haupatikani, hospitali hakuna dawa, hata habari sahihi nisipewe? I SAY NO!

TBC! wanapaswa kushitakiwa the Hague,TV ya taifa inachochea hasira za wananchi,unadhani wananchi wanafurahi kuitwa majambazi,au kuambiwa wamechochewa na Chadema au na Mbunge wa Arusha,au kwamba wanastaili kufa kwa sababu kudai kwao haki kulitokana na msukumo wa kisiasa haya ni matusi makubwa nadhani wanasheria na wataangalia uwezekano wa kuishitaki TBC! kwa kuchochea hasira za wananchi walio kwenye majonzi

Bravo Channel Ten waliweza kuwaunganisha wananchi,serikali na wanasiasa kuweza kuelezea ukweli na wananchi tukapata ukweli
 
Back
Top Bottom