CAMARADERIE
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 4,419
- 1,920
Serikali yenyewe inachochea udini
Nikweli jeshi lipo hii hatuongopi,kama hujui kaakimya kwani wanaojua watakushangaa.Ushahidi nenda karejee Ripoti iliyosomwa kwa Papa John Paul 2 alipotembelea Tanzania ambapo hilo ilikuwa moja ya mafanikio ya kanisa nchini.Pili,jibu maswali yangu hapo juu na sio kupoteza muda.Ukweli ni kuwa hata mpinge hoja za waislam ni za haki ila mnaposema inajulikana tu kuwa nikauli za kujitetea na kujisafisha.
Ukiona serikali ipo kimya jua kuna ukweli ktk madai yao. Pia uzuri wa waislam wanatoa vielelezo vya ushahidi. Mfano mpango wa memorundum of unde$tand[MOU] makanisa yanachotewa pesa kimyakimya bila ya hata kupata ridhaa ya wa TZ wote. Suluhu ya hili ni serikali irekebishe na kuacha upendeleo.
Mbona Mkapa aliyeuza nchi hamumtukani? Nyerere alipofanya mle unga wa yanga mbona hatukanwi? Mbona matusi kwa Mwinyi na Kikwete? Makongamano yataendelea ili kuwaeleza waislam fitna zinazofanywa dhidi yao. Kumbuka kampeni za mwakajana ambavyo zilishamili makanisani,haya hatubahatishi kwani tunaishi kwenye jamii mchanganyiko na pia baadhi ya watu wetu wakaribu ni waumini wa makanisa.Binafsi niko kwenye institution ya kikristo na hapa kwakuwa asilimia 99.9 ni wakristo mengi hujadiliwa na mimi nakuhakikishia chuki yenu juu ya waislam ni kubwa kuliko,mfano wanasema rais ajaye akiwa muislam lazima damu imwagike,hatutaki kuongozwa na muislam namengine mengi tu.Mfano wa pili ni hapahapa JF utaona thread yenye jina la waislam comment nyingi ni za kutukana waislam na hapo utagundua ni jinsi gani wakristo walivyo na chuki kwa waislam.SWALI:Kwanini Dr.Slaa wakati wa kampeni Arusha alilala parokiani? Alienda kuchukua mawaidha gani? Nakusisitiza tena kama huna waraka kwa makanisa yote wakati wa uchaguzi utafute usome na ndio ulete hoja yako.Waislam hawahongwi na yoyote umdhaniaye ila sasa BASI! TUMECHOKA.
Nimekupata mkuu mi binafsi hili jambo lanikera sana tena sana kutokana na mpango wa ccm kuiua cdm kwa style ya propaganda, napenda kuwashauri vijana wenzangu wa kiislam na wa kikristo wawapuuze hao waeneza uzushi ni sumu mbaya sana itaturudisha nyuma, na hizi ni dalili mbaya kwa uhai wetu cdm ni mkomboz wetu, tushikamane kwa lengo moja tu nalo ni kuikomboa nchi yetu kutoka mikononi mwa mafisadi. Hatuna namna nyingine zaidi ya chama chetu cdm. Kwa kijana yeyote anaejua ugumu na tabu ya maisha tuliyonayo hakika cdm ndo mkombozi wetu.Tatizo sio waislamu ila tatizo ni ukristo unaofundisha kuwa wavumilivu,kufundisha amani na upendo kwa vitendo, akupigaeshavu lakulia mgeuzie na la pili-sio jiuno kwa jino......................la sivyo vita inayopaliliwa na viongozi wa ccm hasa kikwete na ccm vya kidini vingelishatokea zamani tangukikwete na ccm walipoamua kuifanya ccm chama kinachoweza kushughulikia mambo binafsi ya dini fulani km mahakama ya kadhi...............................oci