KERENG'ENDE
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 398
- 31
Mijadala kama hii mimi naona haifai kabisa swala la kuumwa na kutibiwa ni swala binafsi kabisa ambalo lina mhusu mtu mmojammoja na familia yake........hivyo huwezi kumlazimisha mtu atoe ushuhuda wa kunywa kikombe cha babu na kupona au kuto pona. Wakati ana umwa na kuhangaika kwenye hospitali tofauti tofauti na kwenye maombi alikuhusisha iweje leo akuhusishe katika mahangaiko yake.........
Mwenye kuamini na aamini,mwenye kutibiwa na akatibiwe na asiye amini na asiamini na asiye taka kutibiwa asiende kunywa kikombe cha babu.Msijaribu kuleta maswala yenu ya udadisi kwenye maswala binafsi hakika hamuwezi kupata majawabu. Serikali kwa utafiti wao kupitia vituo vya afya wanaweza kutoa majibu haya kwa kuona watu wao walio kuwa wna enda clinic wanastatus tofauti na awali au wagonjwa wanapungua kama wanavyo pungua waumuni kwenye baadhi ya makanisa yakinananihii................
Mwenye kuamini na aamini,mwenye kutibiwa na akatibiwe na asiye amini na asiamini na asiye taka kutibiwa asiende kunywa kikombe cha babu.Msijaribu kuleta maswala yenu ya udadisi kwenye maswala binafsi hakika hamuwezi kupata majawabu. Serikali kwa utafiti wao kupitia vituo vya afya wanaweza kutoa majibu haya kwa kuona watu wao walio kuwa wna enda clinic wanastatus tofauti na awali au wagonjwa wanapungua kama wanavyo pungua waumuni kwenye baadhi ya makanisa yakinananihii................