Recent content by isco23

  1. I

    RC wa Iringa kafanya madudu gani?

    Usilolijua ni sawa na usiku wa giza. Hospitali ya rufaa inatibu bure mgonjwa mwenye barua ya rufaa kama umekuja kutibiwa bila rufaa UnafanyA malipo
  2. I

    RC wa Iringa kafanya madudu gani?

    Kosa analo na amefanya makusudi ili apate platform ya kisiasa. Ni kwamba hospital ya rufaa ukienda bila kuwa na barua ya rufaa unalipa pesa kama kawaida
  3. I

    Mnaofuatilia Sultan, msisimke sana.. Hurrem, Pasha na Mustafa ni expendables!

    Hiyo history inapatikana kwenye kitabu gani niisome
  4. I

    Gari ipi ni nzuri kwa usafiri kati ya Rungwe Express na Golden Deer?

    Kama unataka huduma bora na kuwahi kufika kwa sasa ni Al SAEDY na Rungwe New force za Mbeya zipo hovyo
  5. I

    Diamond Platinumz Fans' Special Thread: Njooni tukutane hapa

    Davido hakuwa kimya ila alikuwa anatoa nyimbo zinabuma sababu ya mkataba wake na Sony walishindwa kufanya timing na promotion nzuri alivojitoa ndio akarudi kwenye game Sent from my E6533 using JamiiForums mobile app
  6. I

    Sakata la Mchanga wa Madini: Mwanasheria wa ACACIA yuko London kufungua kesi

    Wale wapo ndani ya mkataba so ukivunja mkataba unatakiwa ulipe fidia fasta
  7. I

    Rais Magufuli akibadilisha Mawaziri, hawa lazima waende na maji

    Kama hamna hela kwanini adanganye dawa zipo
  8. I

    Abood aja na Yutong F12

    Dar mwanza singida
  9. I

    Abood aja na Yutong F12

    Mwaka jana bna sio miaka mitatu iliyopita
  10. I

    Abood aja na Yutong F12

    Huu mziki mwingine aisee BM zake ni f12 huyu ni f12 plus
  11. I

    Msaada kwenye tuta

    vipi mkuu hao jamaa ni wakweli maana na mimi nataka nifanye nao biashara
  12. I

    SALUTE:BVM &AGRI ENGENEERING,BIOPROCESSING AND POST HARVESTING ENGENEERING sTUDENTS

    we ni pungaaaaaa department masikini kuliko zote SUA ni Engineering.
  13. I

    Wajameni! Ku'sapu' na ku'carry' kunashusha G.P.A?

    sup haishushi GPA kwani ukipata A,B,B+ kwenye kutafuta gPA wanaweka thamani ya grade uliyopata ila kwenye cheti wanaweka C
  14. I

    Tumaini university dar

    Jamani kwa anaesoma Tumaini vipi chuo kina hostel au kila mtu anatafuta kitaa nifaamishe kwa anaejua kuna ndugu yangu anakuja kusoma huko
Back
Top Bottom