Dufu haziruhusiwi pia kaka ni beat pia wanatengeneza ala pale, tena siku hizi huku mtaani hadi wanacheza viduku na kubambiana kabisa kama disko dini haisemi ivo that y siku hizi madufu yanapungua si kama zamani watu wanaelimika wanasoma kikubwa ni Elimu Elimu Elimu, na pia dufu wanaruhusiwa...
kaswida/ qaswida kama ina beat ni haramu ila kama haina beat sio haramu, kinachoharamisha muziki ni maneno na beat, so kawida zina ujumbe mzuri ila beat ndo tatizo linalopelekea kua haramu, zipo kaswida ambazo hazina beat na zinaruhusiwa mfano ile kaswida aliyoimba marehemu Michael Jackson...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.