Recent content by Isack Msemo Rajab

  1. Isack Msemo Rajab

    Kwanini wanawake wenye ndevu huwa hawazinyoi?

    siku hizi mademu wanakua na ndevu kwasababu ya vipodozi vingi wanavyovitumia
  2. Isack Msemo Rajab

    Qaswida ni muziki au sio muziki?

    Dufu haziruhusiwi pia kaka ni beat pia wanatengeneza ala pale, tena siku hizi huku mtaani hadi wanacheza viduku na kubambiana kabisa kama disko dini haisemi ivo that y siku hizi madufu yanapungua si kama zamani watu wanaelimika wanasoma kikubwa ni Elimu Elimu Elimu, na pia dufu wanaruhusiwa...
  3. Isack Msemo Rajab

    Qaswida ni muziki au sio muziki?

    kaswida/ qaswida kama ina beat ni haramu ila kama haina beat sio haramu, kinachoharamisha muziki ni maneno na beat, so kawida zina ujumbe mzuri ila beat ndo tatizo linalopelekea kua haramu, zipo kaswida ambazo hazina beat na zinaruhusiwa mfano ile kaswida aliyoimba marehemu Michael Jackson...
  4. Isack Msemo Rajab

    USA vs N.Korea Military Power

    Sasa kila siku silaha zinatengenezwa watu wanajiimarisha kijeshi na hawana sehemu ya kuzipeleka, hapo lazima vita itokee
  5. Isack Msemo Rajab

    Behind the curtain: September 11

    Ahsante sana kaka kwa makala hiitumejifunza mengi sana stay blessed ww na mkeo mtarajiwa
  6. Isack Msemo Rajab

    Behind the curtain: September 11

    kaka vipi yale maswali ambayo watu walikua wanauliza ukawa unapromise kua mwisho wa makala utakua unayajibu????
  7. Isack Msemo Rajab

    Behind the curtain: September 11

    nanyapia nyapia bado sijaunyaka
  8. Isack Msemo Rajab

    Behind the curtain: September 11

    Bado kaka ungeweka link juu pale kama kawa ningeweza kuipata kwa urahisi
  9. Isack Msemo Rajab

    Behind the curtain: September 11

    page 104 nimekutana na post ya huyu jamaa (reply) HARVESTER anamuomba The Bold amtag
  10. Isack Msemo Rajab

    Behind the curtain: September 11

    nimejaribu kuicheki siioni
  11. Isack Msemo Rajab

    Behind the curtain: September 11

    nimerudi ilaa naona kuna link ya episode ya 10 tu
Back
Top Bottom