Recent content by Isaack Newton

  1. Isaack Newton

    Taratibu za kubadili kadi ya umiliki wa bajaj na gharama za bima pamoja na LATRA

    Hqbari wakuu. Nimenunua bajaj kutoka kwa mtu, sasa nataka kubadili jina la umiliki, kwa maana kadi isome jina langu. Mwenye anafahamu taratibu na gharama za kubadili kadi anijuze. Pia hii bajaj haina bima nataka niikqtie bima, hivyo anaejua gharama za bima kubwa kwa upande wa bajaj anijuze pia...
  2. Isaack Newton

    Nafazi za kazi kampuni ya Gardaworld

    Bila shaka yupo kazini.
  3. Isaack Newton

    Bodi ya bajaj inayotumia gesi vs bodi ya bajaj inayotumia petrol

    Habari wakuu. Kuna hizi bajaj zinazotumia gesi zenye viturubai vya njano, asilimia kubwa unakuta ni namba E lakini bodi yake imechoka mbaya mbovu kama namba A vile. Lakini unakuta hizi ambazo hazina mfumo wa kutumia gesi bodi zake zipo njema sana. Sasa hizi za gesi zenye viturubai vya njano...
  4. Isaack Newton

    Mpiga picha nzuri anahitajika

    yeah ni kazi ya nusu saa tu maana ni picha nnetu kali.
  5. Isaack Newton

    Mpiga picha nzuri anahitajika

    Andika vizuri mkuu hujaeleweka
  6. Isaack Newton

    Mpiga picha nzuri anahitajika

    Habari, nahitaji mpiga picha mzuri aje ofisini kwetu kuwapiga picha staff wakiwa kwenye uniform .Hizo picha zinahitajika na ofisi zitumike kwenye marketing. Idadi ya picha ni nne tu Tupo mikocheni 0679464974
  7. Isaack Newton

    Napata wapi wataalamu wa ku pimpu bajaj kwa hapa Dar?

    Habari wakuu, Nimejichanga nimenunua bajaj mpya, sasa nataka nii pimpu iwe na muonekano mzuri, mfano kufunga mziki, kuweka ngao, kuinyenyua kidogo, kuweka side-mirror kubwa kidogo, kufunga taa za urembo, kuweka TV ndogo, kufunga honi ya gari. Pia nataka niibadilishe lile cover la juu liwe jeusi...
  8. Isaack Newton

    Ushauri: Nanyanyaswa na mke wa baba yangu mdogo

    Yeah Mungu ni mwema sana, nipo na maisha yangu kwa sasa, nilipoondoka alikosa wa kumpelekesha akaanza kumpelekesha mme wake, ( baba mdogo) ikapelekea mpk ndoa ikapelekea ndoa yao kuvunjika. Miaka minne sasa hawapo pamoja.
  9. Isaack Newton

    K Basil sasa ni askofu chini ya kanisa la Gwajima

    Hivi yesu alikua na degree ngapi vile? na zehebu lako la kikoloni, unaweza ukawa darasa la saba na ukawa mtumishi wa Mungu mkubwa sana. Haya endelea ku support hao mapapa wenu wanaounga mkono ushoga.
  10. Isaack Newton

    Plot4Sale Nauza kiwanja Tegeta kimetazamana na Chuo cha Mzumbe, kituo cha Polisi na Shule y Msingi. Bei milioni 22

    unaweza ukawa sahihi lakini kwa upande wangu sina uhakika maana nimezaliwa hapo nimekulia hapo na sina nuksi
Back
Top Bottom