Hizi thinking zenu zina walakini... Aliyekuambia kwamba kwa kuwa mwanaume ni kichwa na provider hamhitaji mke ni nani. Asingemuhitaji asingemfuata na kumchumbia akaomba kumfanya mkewe. Si mwanamke anayeomba kuolewa.
By the way katika familia mwanamke anaweza akaishi mwenyewe na asitetereke kama...
Huu ndyo ushauri pekee ambao utauelewa kwa kuwa ndyo maamuzi uliyokwisha yafanya. Naamini ushauri mwingine wowote hutauona kama unafaa.
Ila tu ujue watu hawafanyi maamuzi katika hasira na hatuoani ili tuachane kwa kuwa hatuko wakamilifu
Nina ujauzito ambao kulingana na wataalamu niko wiki ya 33. Leo nimeshituka kidogo, nikiwa natembea kama moja ya mazoezi ghafla tumbo lilibana kwa chini ya kitovu na nikahisi maumivu kweli.
Baada ya muda nikahisi maumivu yakiongezeka hadi kwenye nyonga . nimejikaza na kuingia ndani kujilaza...
Jamani Ni kweli ni a kili za wanawake. Lakini habari pia ya kumwambia mtu.. Tulia utapata mwingine.. Sio wote tunatamani kuhesabiwa majumba mengi .. Leo umetoka kwa huyu kesho uko hapa.. Mtoto mmoja ana ubini wa Peter mwingine wa Juma
Labda kwa hilo la familia zingine maana hapo kila mama anahitaji haki ya kuwa mke.. Wa kwangu nashukuru sikuwahi hadi leo kusikia tetesi ya kwamba alikuwa na familia nyingine.
Wakati mwingine masuala ya mahusiano hayahitaji ushauri.. Inafika wakati MTU anaamua kulingana na jinsi moyo moyo wake unavyomuelekeza.
Wapo wanaofanikiwa na wapo wanaoharibikiwa kabisa..
Speaking from my personal experience, Nina kesi kama yako.. Nilizaa na mwanaume ambaye wakati wa ujauzito...
Tuliosoma tamthiliya ya KIVULI KINAISHI tunaelewa mwisho wa BI Kilembwe ulivyokuwa..
Huwezi kuwalazimisha watu kusema NYEUPE ilhali inaonekana Ni nyeusi..
Sasa wewe hukuwa na future na mtoto wa watu kilichokufanya ukatembea naye pekupeku ni nini?
Natumaini kwa umri ulonao hauhitaji kupewa elimu ya mahusiano... Ulifahamu matokeo take. Na isitoshe ulimtongoza binti wa watu kwa lugha nzuri ukamshawishi naye akakuamini na kukuona unastahili kuwa...
Nimepitia thread yako naanza kuunganisha matukio. Nilichokielewa Ni kwamba jicho la tatu linahusiana sana na power of meditation. So it depends on what you meditate.
Kama muda mwingi una meditate neno la Mungu hata Yale yatakayokujia yatakuwa ya kimungu zaidi. Ukikaa Ku meditate habari za...
Nimepitia thread yako naanza kuunganisha matukio. Nilichokielewa Ni kwamba jicho la tatu linahusiana sana na power of meditation. So it depends on what you meditate.
Kama muda mwingi una meditate neno la Mungu hata Yale yatakayokujia yatakuwa ya kimungu zaidi. Ukikaa Ku meditate habari za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.