Wangapi hatujawahi kuchepuka katika mahusiano yetu?

Wangapi hatujawahi kuchepuka katika mahusiano yetu?

Tangazo lako limeshaonekana kwamba
1.UPO SINGLE
2.HAUCHEPUKI
3.UNAHAMU YA KUINGIA TENA KWENYE MAHUSIANO ILA HAUJAPATA MPENZI
4.HAUJATUMIKA SANA COZ ULIKUWA NA MPENZI MMOJA TU.
Haya sasa, mabazazi wa JF kazi kwenu
He he he.. Umemuelewa vema.. Nimependa comment yako
 
Watu walokuwa JF wanatoka sayari gani, na wamtaani wanatoka sayari gani??
Manake mi najua ndo sisi sisi
Wamtaani tunaonana Mubashara. Wa jf. Tunajuana kutokana na mijadala ya hapa na pale
 
Back
Top Bottom