Naomba Ushauri: Namchukia ila nimempa mimba

Naomba Ushauri: Namchukia ila nimempa mimba

Angalia maneno yako "ndio fasheni siku hizi kumpa demu mimba na kumuacha kwao, we mteme tu nk." hapa inaonyesha haujali kabisa nafsi ya yule mwanamke, ww unadhani huyo mwanamke akitendewa hivyo atajisikiaje, huu ni ubinafsi maana umefikiria kama mwanaume na bila kujali upande wa pili.
Nyinyi ndio watu mnaoiharibu JF,
mtu anaomba hela unaishia kumpa ushauri badala ya kumpa hela,
Na hii tabia imezoeleka sana.
Yeye ameuliza ametelekeze mke na mtoto au ampende mtoto???
Sasa wewe unamshauri ''bora uishi na wote''
kalaghabaho...
Umepewa two choices wewe unaongeza yako ya tatu?? Wtf?
Kwahiyo kati ya kuhudumia mtoto na kumtelekeza mama na mtoto kipi bora?
Hebu jibu niupime ufahamu wako
 
kaitoe hiyo mimba... dhambi ngapi umefanya kwan... kuliko kuteseka kifikra we katoe tu kiroho safi... kwan sh ngapi bhanaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!
 
Try to think if you dad asingekupenda jana je ungekuwa hapo ulipo leo then leta feedback hapa kuhusu jibu ulilolipata.
 
Nyinyi ndio watu mnaoiharibu JF,
mtu anaomba hela unaishia kumpa ushauri badala ya kumpa hela,
Na hii tabia imezoeleka sana.
Yeye ameuliza ametelekeze mke na mtoto au ampende mtoto???
Sasa wewe unamshauri ''bora uishi na wote''
kalaghabaho...
Umepewa two choices wewe unaongeza yako ya tatu?? Wtf?
Kwahiyo kati ya kuhudumia mtoto na kumtelekeza mama na mtoto kipi bora?
Hebu jibu niupime ufahamu wako
Hah hah hah sawa kumshauri atunze mtoto lakini hakukuwa na sababu ya ww kumuonyesha kufanya hivyo ndio fasheni kama ulivyosema mwanzo...
 
Hah hah hah sawa kumshauri atunze mtoto lakini hakukuwa na sababu ya ww kumuonyesha kufanya hivyo ndio fasheni kama ulivyosema mwanzo...
Hahaha... Fasheni? Sio kila fasheni ni ya kuiga,
bytheway nimejitahidi kujibu vile anavyotaka yeye kulingana na hali yake ilivyo, just to kumtoa hofu ili aone hata kulea mtoto sio ishu kubwa, ndomana nimempa majibu mepesi, sijatumia njia mnayotumia nyinyi ile inayoitwa
''OMBA SAMAKI UPEWE NYOKA''
 
tatizo ni kwamba sikuwa tayari kuanza future na mwanamke ambaye tayari ana mtoto na mwanaume mwingine na mwanaume huyo akiwa angali hai
Sasa wewe hukuwa na future na mtoto wa watu kilichokufanya ukatembea naye pekupeku ni nini?
Natumaini kwa umri ulonao hauhitaji kupewa elimu ya mahusiano... Ulifahamu matokeo take. Na isitoshe ulimtongoza binti wa watu kwa lugha nzuri ukamshawishi naye akakuamini na kukuona unastahili kuwa baba.
Kumbuka ulimkuta na jeraha tayari sasa unataka kumjeruhi Mara ya pili na hii Ni mbaya zaidi. Naamini wakati unamtongoza ulifahamu kabisa kwamba ana mtoto kwa mume mwingine
 
Hahaha... Wewe jamaa bado haujawa na point,
mbona ndio fasheni ya skuizi hiyo? Unampa mimba demu anakaa kwao, wewe unakuwa unatuma matumizi maramojamoja kwaajili ya mwanao, na haina uhusiano wowote na mapenzi yenu, tena unaweza ukamtema alafu ukawa unatunza mtoto tu baaas... Umeelewa? Sio lazima mtu ukimpa mimba ndo uishi nae,
mfano mzuri fanya kama alivyofanyiwa kwenye mtoto wake wakwanza
Hivi wewe una ndugu nyumbani kwenu na una moyo kweli
 
sku zote unataftw shamba
Ili uvune na co

Mazao yaozee shamban
 
wewe ni nyoko kwel, unavyosema tena kwa msisitizo kuwa eti unamchukia sana ulikuwaje hadi ukazini nae ?
 
Sasa hayo makusudi mmeyafanya wote, wewe hukutumia mpira na yeye alikuwa siku za hatari mkavuna mlichokipanda.

Hakuna kuchukiana pendaneni kama mwanzo.

Kwani ulivyomtongoza ulimwambia umempenda au umemtamani!!?

tena mumshukuru Mungu mnapata mtoto, je mngepata maradhi?
umeongea point sana, mimi roho imeniuma kama ndiye huyo mwanamke, wao wanajua tu kumwaga uchafu lakin wakichafua hawajui kupasafisha
 
  • Thanks
Reactions: Luv
kumbe unazunguka pale pale. orait.
Hahahah... Sasa unaongea nini? Abdalah unamuita Dula alafu unajiona mjanja?
Lengo ni kutotoa hela kilasiku, na hakuna hela inayotosha NEVER..!!
So usimpangie eti ampe hela inayotosha kwa mwezi,
Bora umwambie ampe kwa kadri uwezo unavyomruhusu, cuz haijawahi kutokea hela ikamtosha mtu, hata billgates hela haimtoshi ndomana daily anafanya kazi... OVA
 
Back
Top Bottom