Paji la uso na siri ya jicho la tatu

Mshana hili tatizo ninalo la nikilala chali huwa Nina experience vitu vya ajabu mpaka natumia nguvu snaa kupapatua sasa kwanza NI nini hasa kinafanya uwe kwenye hali hiyo na hiyo nguvu inapingana vipi na nguvu hasi then nini tiba yake ,and what make sense ukisema kinacholazwa chali NI Maiti tu ,je maiti inahusiano gani na jicho la tatu na kulazwa chali.
Ahsanti man .
Jicho la tatu ambalo position yake ni kwenye paji la uso ndio penye mawasiliano ya moja kwa moja na ulimwengu wa roho
Unapolala chali ni kama kujiweka kwenye spotlight na ulimwengu huo ambao vinapita vingi visivyoonekana
Kumbuka Unapolala conscious mind hupumzika na nafasi yake kuchukuliwa na subconscious mind
Kwa ishu ya maiti, roho inapotoka kinachobaki ni jumba tu lisilo na chochote
 
Hapana hii inasababishwa na kitu kinaitwa HARI ZA KIFO. ..maumivu yatokanayo na roho kutoka kwa taabu

Okay ,thanks man !
So Mshana Jr,kwani tukifa tunaumia au ni just tremendous denial of the soul to leave the body ?Henceforth ina create hiyo shock ya may be macho kua wazi na mdomo etc etc and sometimes pia kuona watu wana bargain like screaming,crying ,making noise ,suffering ,sadness ,l don't think Kama itakua ni maumivu Mshana ,nadhani ni just denial juu ya Kifo ,nini rai yako Katika hili? Do we really feel physical pain when we die ?
 
Okay ,thanks man !
So Mshana Jr,kwani tukifa tunaumia au ni just tremendous denial of the soul to leave the body ?Henceforth ina create hiyo shock ya may be macho kua wazi na mdomo etc etc and sometimes pia kuona watu wana bargain like screaming,crying ,making noise ,suffering ,sadness ,l don't think Kama itakua ni maumivu Mshana ,nadhani ni just denial juu ya Kifo ,nini rai yako Katika hili? Do we really feel physical pain when we die ?
Kuna mengi katika hili
-peaceful death hii mara nyingi watu hufia usingizini na hata sura zao huonyesha amani
-kufa bila kutaka, hapa mtu hataki kufa lakini ni lazima afe..hii huleta hizo hali
-kifo cha kisasi
Kifo cha dhuluma nk nk
Sometimes sio physical body pains tu ambazo hizi hutoweka mara baada ya roho kuachana na mwili bali Kuna yale maumivu ya kiroho kihisia from within..hizi intuitions ndio husababisha mtu kutoa macho kukunja sura (ndita) kuvuta mdomo nk nk
 
Kuna mengi katika hili
-peaceful death hii mara nyingi watu hufia usingizini na hata sura zao huonyesha amani
-kufa bila kutaka, hapa mtu hataki kufa lakini ni lazima afe..hii huleta hizo hali
-kifo cha kisasi
Kifo cha dhuluma nk nk
Sometimes sio physical body pains tu ambazo hizi hutoweka mara baada ya roho kuachana na mwili bali Kuna yale maumivu ya kiroho kihisia from within..hizi intuitions ndio husababisha mtu kutoa macho kukunja sura (ndita) kuvuta mdomo nk nk


Ahsante sana mshana Jr ,mungu akulipe zaidi.
 
ahsante Mshana jr! nimepata kitu hapa... kwa imani yangu, tunaamini kuwa siku ya mwisho kutakuwa na kuwekwa kwa alama ya mnyama katika mapaji ya uso kama ishara ya kukubaliana na matendo ya mpinga kristo.. nilichogundua sasa... nisisubiri kuona siku moja kutakuwa na mihuri ya kuja kupigwa watu bali shetani atatuweka alama ya mnyama kwa aina ya kutupandikizia yale ayatakayo (alama ya mnyama iliandikwa itawekwa katika paji la uso)
 
Nimepitia thread yako naanza kuunganisha matukio. Nilichokielewa Ni kwamba jicho la tatu linahusiana sana na power of meditation. So it depends on what you meditate.
Kama muda mwingi una meditate neno la Mungu hata Yale yatakayokujia yatakuwa ya kimungu zaidi. Ukikaa Ku meditate habari za kiganga na kichawi kwa mfano muda wote movies unazotazama zikawa na uhusiana na mambo ya kichawi lazima reflection ya jicho la tatu itakupeleka kwenye mambo ya kutisha.
 
Nimepitia thread yako naanza kuunganisha matukio. Nilichokielewa Ni kwamba jicho la tatu linahusiana sana na power of meditation. So it depends on what you meditate.
Kama muda mwingi una meditate neno la Mungu hata Yale yatakayokujia yatakuwa ya kimungu zaidi. Ukikaa Ku meditate habari za kiganga na kichawi kwa mfano muda wote movies unazotazama zikawa na uhusiana na mambo ya kichawi lazima reflection ya jicho la tatu itakupeleka kwenye mambo ya kutisha.
 
Nimepitia thread yako naanza kuunganisha matukio. Nilichokielewa Ni kwamba jicho la tatu linahusiana sana na power of meditation. So it depends on what you meditate.
Kama muda mwingi una meditate neno la Mungu hata Yale yatakayokujia yatakuwa ya kimungu zaidi. Ukikaa Ku meditate habari za kiganga na kichawi kwa mfano muda wote movies unazotazama zikawa na uhusiana na mambo ya kichawi lazima reflection ya jicho la tatu itakupeleka kwenye mambo ya kutisha.

Nimepitia thread yako naanza kuunganisha matukio. Nilichokielewa Ni kwamba jicho la tatu linahusiana sana na power of meditation. So it depends on what you meditate.
Kama muda mwingi una meditate neno la Mungu hata Yale yatakayokujia yatakuwa ya kimungu zaidi. Ukikaa Ku meditate habari za kiganga na kichawi kwa mfano muda wote movies unazotazama zikawa na uhusiana na mambo ya kichawi lazima reflection ya jicho la tatu itakupeleka kwenye mambo ya kutisha.
 
Vinahusiana kwa sehemu hebu search mada ya telekinesis
Kuna vitabu viwili nimesoma vya Rhonda byrne kimoja kinaitwa Secret na kingine power, hivi vitabu it's like vinakuweka mtu free unaona life it's simple. Kwanza unakuwa na furaha, upendo wa hali ya juu, hofu zote zinaondoka. Vitabu vyote hivi msingi wake ni law of attraction. Thuswhy nkauliza kwa muktadha huo je kuna uhusiano. Pia hii law of attraction inakutaka ufanye visualization na imagination yaan uput in Ur mind vitu unayotaka in Ur life as if umevipata kwa kutengeneza image kwenye akili yako unavyo na unavitumia (action) na according to law utavipata ukiamini. Je visualization Ina impact gani ktk mind?
 
Kuna vitabu viwili nimesoma vya Rhonda byrne kimoja kinaitwa Secret na kingine power, hivi vitabu it's like vinakuweka mtu free unaona life it's simple. Kwanza unakuwa na furaha, upendo wa hali ya juu, hofu zote zinaondoka. Vitabu vyote hivi msingi wake ni law of attraction. Thuswhy nkauliza kwa muktadha huo je kuna uhusiano. Pia hii law of attraction inakutaka ufanye visualization na imagination yaan uput in Ur mind vitu unayotaka in Ur life as if umevipata kwa kutengeneza image kwenye akili yako unavyo na unavitumia (action) na according to law utavipata ukiamini. Je visualization Ina impact gani ktk mind?
Vizuri sana niwie radhi kwa majibu mafupi...nitapenda kukujibu kwa kina nikitulia tukumbushane nikipitiwa
Lakini pia mind is a very powerful tool hasa ukiitumia ipasavyo
Slogan kama perception creates reality zote msingi wake ni mind kupitia meditation na self intuitions unazozipanga wewe mwenyewe
Kuna kitabu kinaitwa How you can change your destine (liao fan four lessons )
 
Back
Top Bottom