Itakua vyema tukipata na muongozo wa izo pesa zilizopatikana zitakavyotumika pia,co kusifia tu.kama vipi waongeze mwendo kasi za kwenda mbagala na gongolamboto au tuongezewe mahospitali basi tufanye hata kuboreshea mashule na vitu vya muhimu, ili tujue pongezi zetu zimefny kz.
aya bac ongera...
nakumbuka mwaka jana kama cjakosea,raic alisema izi bastola cjui ndo risasi zote zisajiliwe,tena yy alianza na yake,...... sasa me con km ni kazi ngumu sana kujua wahusika maan list ya wny silaha wanayo,na kama mambo madogo ivi yanawashinda hd wanasema watu wasiojulikana,basi ikitokea vita...
Baba wa taifa ni Nyerere tu na hata shuleni tumesoma baba wa taifa ni nyerere sasa uyo wako ww na co wetu,uyo ni raic ucje mfananisha n baba wa taifa,tene ucyalazimishie maneno ya MUNGU kuingia kwny mambo kama ayo aiseeee.....
aiseee kusain kifo cha mtu iyo ni habari nyingine, magufuli ila hapa kaonyesha uanadamu kaasi chake,asije kusaini tu jaman na alieleta iyo sheria ya kunyonga cjui kama anamungu ndani yake,magereza yapo bora umfunge kifungo cha maisha na sio kumnyonga jaman mtu.
endelea na hii kwnz bana unatukatisha utamu,alaf uwe unaeka na zile amsha amsha kabisa,yani walianzaje alimshaka wapi ivi lbd yn isisimue watu zaid,ila kazi nzuri ongera
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.