Gyeoul
JF-Expert Member
- Jan 28, 2015
- 3,758
- 5,364
YahHii ni king loves??
sent using TV ya chogo
YahHii ni king loves??
sent using TV ya chogo
Hapana umeandika au ulikuwa unaongea alafu yanajiandika???Kwanza Kinachofanyika Ni Wanmuumiza Tu Wang Won Sababu Tangu Mwanzo Won Hakuhitaji Kuwa Mfalme Wa Iyo Nchi Ndomna Ata Ukifatilia Kuna Sehemu Alimwambia San Kuwa ''Nataka Tuondoke kwenye Hii Nchi Twende Tukaishi Mbali Kama Tuu Utakubari Kuwa Nami Mpaka Mwisho''
Apo Ukiangalia Vizuri Won Yuko Tyari Kuacha Kila Kitu Ili Tuuh Awe Karibu na Mwanamke Anaempenda kwa Maana Ya Kwamba Uongozi Auna Maana Kwenye Maisha Yake...
Won Amekuwa Bila Ya Malezi ya Baba Wala Mama, Won Amekuwa Mwenyewe Mpka Pale alipompta Rin Na Kuwa Mtu Wake Wakaribu Kushinda Yeyote Rin Anamjua Vizuri Won Sawa Na Won Kumjua Vizuri Rin na Ayo Ndo Maisha Aliyoyahitaji...
Najibu Maswali Yako..
1.Anakosea Tena Kosa Kubwa Tuuh, Kwa Nini! Mfalme Amjuhi Vizuri Won Ni Mwanae Rakini Anachofanya Ni Kama Analipiza Kisasi Kwa Queen Kwa Aliyoyafanya Kwa Mke Wake Wa Kwanza au Kutokana Na Kuwa Na Chuki Na Kublah Khan ndo Anaamua Kumalizia Kwa Mjuukuu Kwa Kujua Siku Akishika Madaraka Ye Ndo Atakuwa Wa kwanza Kupotezwa..
Sasa Apo Ni Kuwa Rin Anamjua Vizuri Won Na Ata Kuna Siku Won Alishawahi Mtamkia Rin Kuwa ''kama Kumpa Mtu Kiti Changu Nitakupa Wewe Na Si Wang Jeon Kaka Yake Rin'' Kwa Nini Alisema Aya Ni Kuwa Won Hana Tamaa Ya Madaraka Tofauti Na Baba Yake Anavyomchukulia... Kwa Ishu Ya Rin Kuside Na Mfalme Ili Wmuangushe Won Ni Undeeezi Wa Rin Tuuh Baada Ya Kulishwa Sumu Na Yule Sectretary....Sababu Ata Won Alishawahi Mjii Juu Mama Yake Kwa Kitendo Alichofanya Kwa Kaka Yake..Na Aya Yote Rin Anayajuua Rakini Leo Anaaamua Kumsaliti Mwenzie Aliyeamuaa Ata Kurisk Maisha Yake ili Tuuh Ye Asipate Shida Yeyote..
Won Aliamua Mpka Kwenda Kutofautiana Mara Kibao Na Mama Yake Ili Tuuh Asiingilie Familia Ya Kina Rin Yote Sababu Ya Mapenzi Na Heshima Aliyoiweka Kwa Rin Kama Rafiki Yake Ila Leo Yote Yale Ayaoni...
Ya Mwisho Won Kwanza Aliaamua Kwenda Kwa Mama Yake Nakuomba Ampe nguvu Ya Kuja Kuwa Mfalme Ili Tuuu Awaprotect Watu Anaowapenda Na Kuuumia Sabbu Ya Mfalme Anaetolewa Akili Na Yule Song In.
(Nimejikuta Nimeandika Sana Etiii, Sorry Kwa Kusoma Sana)
Kama unavyo fanyaga tukiwa safarini
Leo Ulikuwa Wapi?? Hahahahahaha Dah Nimekumic Umu EtiKama unavyo fanyaga tukiwa safarini
Sijakuelewa Etiii?Hapana umeandika au ulikuwa unaongea alafu yanajiandika???
Ujaelewa nn sasa hapoSijakuelewa Etiii?
NipoLeo Ulikuwa Wapi?? Hahahahahaha Dah Nimekumic Umu Eti
Ulivyoandika NifanulieUjaelewa nn sasa hapo
Yale maneno yote umeandika au ulikuwa unaongea yanajiandika yenyewe?Ulivyoandika Nifanulie
Nn sasa njoo kuleAya
Mmhhh!!
Nimeandika Mwenyewe...Yale maneno yote umeandika au ulikuwa unaongea yanajiandika yenyewe?
Kimtan dah Alimaliza....ila msiisahau descendant of the sunThe heirs
Hujakosea bhana, sema mengi mno mmhhNimeandika Mwenyewe...
Yako Mengi Sana Au Nimekosea!?
Ndomana Nikaomba Radhi Nimejikuta Naona Mengi Baada ya kumaliza Na Apo Nimeyafupisha Baada Ya Mkono KuchokaHujakosea bhana, sema mengi mno mmhh
Wapi?Nn sasa njoo kule
munje eobs-eo(Nimejikuta Nimeandika Sana Etiii, Sorry Kwa Kusoma Sana)