choikan
JF-Expert Member
- Jun 23, 2016
- 369
- 310
Tumia rinju kiongoz hizo nivea nyingi ni fekNIVEA for MEN
".No woman No cry.."
Tuko pamoja askar wanguNisamehe mkuu,sijui nlikuwa nawaza nini kichwani.Unajua toka Lissu kapigwa risasi kichwa changu hakijakaa sawa.Am so sorry Beira Baby Boy.
hivi rinju haibadilishi ngozi yaan kuchumbua?
MAFUTA YOYOTE YA MGANDO YASIWE NA PERFUME KALI AU YASIYO NA HARUFU KABISA EG. BABY CARE
Dada akee kwani jukwaa la urembo limehamia chit chat me natumia vaselineNatumia futa la nazi usoni sabuni nayotumia Savlon hygiene soap shunie linamo cab ney emmyta sakayo mkuje na huku uremboni
Mie nilishangaa mpenzDada akee kwani jukwaa la urembo limehamia chit chat me natumia vaseline
carolight utakuwa mweupe kama sembe! ohoooo
dove haichubui..?karolaiti kwa wadada na kleamen kwa wanaume!
Tukiacha utani, kwa wadada palmers cocoa butter na dove!