Imenifurahisha hii, baada ya kazi za serikali ya wantende ninapita hapa jf kwa abcdz za hapa na pale, umenikumbusha mengi ktk habari hii, hebu fikiri tembo watangaze mtanange! Raia wa kawaida ndo watapata shida wala siyo kinana na wenzake. Na hili linatokea sana, waulize jamaa wa mahida chini...
umenifurahisha sana.Du it profesionally bwana! step ya kwanza ni kuoga na kuosha kwa sabuni ya detol! khaah ujue udom mademu wote hoi na ch... au f...,!
Mbona kuna jamaa ameletewa na muuza duka la mhindi,mpya na complete ndan ya box kwa lak1.5!,tena amesema analeta i pads za kutosha wk ijayo. anataka apige hela asepe!
wasiwasi wangu ni ubora wa elimu wa hv vyuo mnavyoviita vyuo vikuu! Kuna ubabaishaji mwingi SAut,smmuco,tumaini,teku,n.k! Yaan wafanya research sijui wako wapi! Elimu zinazotolewa ziko shallow kutoka kwa watu shallow!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.