Usioe hili kabila kama huna msuli

Usioe hili kabila kama huna msuli

Ukiona hvyo ujue ameshakuzd hela huyoo maana kwa ku hustle hao viumbe ni balaa wanajua ku kamata fursa mbaya so mi navyojua ukienda with their speed ni muda mfupi tuu ushatokaa. Saaasa kama una 13 yrs bdo unadharaulika bas jua there z an error apoo kwako
 
Ndo mana nikasema kabla huja comment chochote fanya reference kwanza kwa watu ulionao karibu, mimi nina experience ya ndugu jamaa na marafiki and I know how they have been hassling.

mkuu wamachame hawafai kabisa, mimi nina ndugu yangu aliponea kifo baada ya kushtuliwa na mfanyakazi wa ndani kuwa mkewe kamuwekea sumu katika chakula kisa maugomvi ya kugombea mali.ninachokizungumza nakijua fika na mama yangu mzazi akatuambia wanangu leteni wanawake wowote wale mtakao taka kuwaoa kutoka sehemu yoyote ile lakini sio MACHAME
 
Hao watu they live with a purpose. Sio unakumbatia umaskini halafu unamuona mmachame mbaya.
 
Nduka Original,

Wenzako wakiataka kuoa yote hayo wanayachunguza na kuyapata wakati wa uchumba, wewe umeyapata tayari uko ndani ya ndoa. Pole sana, ndoa yenyewe ya Kaisari !!!! Vumilia hadi kifo kiwatenge.
 
Tujaribu ku list celeb ambao wameoa wachaga kisha evaluate ndoa zao

1. Ben Mkapa
2. Salmin Amour
3. Reginald Megi
4. Jenerali Ulimwengu
5
6
7
8
9
10

Niliwahi kusikia Salmin aliwahi 'dawa ya kunyofoa roho za panya' kwenye chakula na huyo mama
 
Nina mchumba Mpare,
Vp I just wana know their Critics na strengths kama zipo,,

Wao siyo wachoyo,; kumnyima mwanaume nyapu kwao ni dhambi kubwa.

Wamepewa papuchi na mungu bure na wanagawa bure. Haina mana kunyimana.
 
Ahaah! nilisikia zamani ukienda kuoa unaulizwa. Antil degree? Ukiwa huna unaulizwa tena. Antil kabati ya mbeho? Huna until helcopter ya mezani kama vyote huna anafunguliwa mbwa anakutoa nduki.

Body without head
 
Kabla sijamaliza kusoma uzi wako nilikuwa nimeshajua lazima awe mmachame.Nilishawahi kuwa na gf toka pande hizo ni full majanga,ukizubaa inakula kwako kimazima

Sio wote bwana, we kabila gani kwani?
 
ulifungwa kamba kuoa hilo kabila ? kwanini hukuoa kwenu? ? eti wanatawala wanaume kama umetawaliwa andamana kudai uhuru wako..au unataka nyerer afufuke aende uingereza kudai na uhuru wa nyumba yako kama alivokuombea uhuru wa nchi...kwa thread hii hayo unayopitia yanakustahili kabisa..mume aishi kama mume apate heshima yake ..mume akiishi kama mke apewe yanayomstahili pia!


hellow...umemwelewa huyu jamaa anamaanisha kabila gani?
 
Nduka Original,

100% i agree with you. Yaani its another WWE dont try this. . Ila wanawezana wao kwa wao yaan mwanaume awe machame na mwanamke awe machame kwa kabila lingine ukijitungua u will face the music.
 
100% i agree with you. Yaani its another WWE dont try this. . Ila wanawezana wao kwa wao yaan mwanaume awe machame na mwanamke awe machame kwa kabila lingine ukijitungua u will face the music.

Tatizo mkuu wanaume wa huko kwao pia wanaukimbia huo muziki.teh tehe!
 
Naomba kueleweka mambo yafuatayoo

1. Kwanza siku maanisha wamachame peke yao nimemaanisha kabila lote la wachaga ila mimi ndio nimeoa mmachame
2. Pili sikusema wachaga wasiolewe ila nimesema inabidi uwe na msuli yani ukaze buti
3. Mimi ndio yangu iko imara mpaka sasa ila nimefanikiwa kukabiliana na hizo changa moto

HITIMISHO
Narudia tena kama huna MSULI usithubutu kuoa mchaga utajuta, najuwa kuna wadada wengi humu wana wachumba wa kichaga hivyo wanaona mimi naharibu deal bali nawaonya nyie wachumba kuweni makini kama huna msuli kaa mbali utakuja kulia. Acha kuchukua majibu mepesi mepesi eti inategemea, siyo wote, kila kabila wako hivyo. Acha bwana hawa wadada ni hatari kabisa na wote baba yao mmoja na mama yao mmoja. Mimi katika ukoo wetu ndugu kama 23 wameoa wachaga na kila mmoja analia mziki wake.Sasa sijui mnataka nitoe experience gani tena. KAMA UNABISHA OWA SIKU MOJA UTAKUJA KURUSHA UZI HAPA.
 
Nduka Original,

Hayo ni maono yako tu mkuu sidhani kama wote wako hivyo..na Je mama yako mzazi angekuwa Mmachame ungeleta huu uzi hapa jamvini?
 
Nduka, matatizo ya ndoa yako na Mmachame yanatosha kuhitimisha Wamachame ni wakorofi? Usishangae kuwa mkeo wa Kimachame nae akipewa nafasi ya kuchagua mume, huenda asikubali kuolewa nawe au hata wa kabila lako!
Nina binamu yangu aliyeoa Mmachame, bahati mvbaya baada ya miaka kama minane mkewe wa Kimachame alifariki. Ajabu ni kuwa amekuja kuoa Mmachame mwingine!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom