Ila tuwache uwongo,hawa dada zetu ni wazuri bhana!! Kwa sie tunaojali uzuri kwanza tutawaoa sana tu!! Hayo mengine huwa tunaassume yatanyooka hata kwa ngumi na vichwa!
Ufoo Saro ameshatoka hospitalini? Sijui kwa nini baada ya kumaliza kuisoma hii thread nimemkumbuka huyu mrembo
sisi tunaongoza kwa kuolewa na race zote duniani nadhani wewe dada zako wameishia hapo hapo kijijini kwenu hata kijiji cha jirani hawajafika! so cheap!
Duh ngumi na vichwa tena.
Kaka ukirusha jiwe pangon atakayepga kelele limempata naona umewapata wengi apa
Mkuu kama mtu ameshindwa kucomply na wewe kwa plan A inabidi umpatie plan B na C kama itawezekana. Lazima akuogope kama kukuheshimu ameshindwa. Lakini nakiri ukweli hawa wadada wa kimachame ni wazuri bhana! Wao hawana yale maumbo common kwa wachaga wengi. Wameumbika kwa sura na maumbo.
sisi tunaongoza kwa kuolewa na race zote duniani nadhani wewe dada zako wameishia hapo hapo kijijini kwenu hata kijiji cha jirani hawajafika! so cheap!
wewe ni mchovu ndiyo maana unalialia huku
Naongea kwa uzoefu hivyo usije ukaja tu majibu yako ya ina tegemea, let's be realistic with what we have been experiencing. Kabla huja comment refer to yourself, your friends or your relatives who have got married to this tribe.
Ni wanawake wazuri kwa sura na pia wanajituma sana katika kutafuta maisha, shida zao ni kama zifuatazo
1. They are cash driven
2. Wababe
3. Wanapenda kumtawala mwanaume
4. Hawajali nyumba
5. Hawajali ndugu
6. Upendo pia si kivile kama huna mpunga
7. etc ect unaweza kujaza
I don't mean to say that you shouldn't get married to the women from this tribe no, but you need to take those challenges into consideration and note that it may also be difficult to tackle them and that's why the marriage get broken.
All in all you should play your card very smart so as to get it balanced. Mine I have in the marriage for 13 years now with a Machame woman but i have encountered a lot of challenges.
Kumbe ulikuwa unamaanisha Wamachame!Wanawake wana roho mbaya sana
Kumbe ulikuwa unamaanisha Wamachame!
Nipo Arifu..... siku hizi nimekuwa msomaji mzuri kuliko mchagiaji!!!Arif upo? Long time no see.
BTT: mwanaume anayelialia na kukubali kutawaliwa na mwanamke ni mzembe kama dola za Mugabe. Baaas