Recent content by inspectorbenja

  1. I

    Biblia wanayotumia Wakotoliki na wanayotumia Walutheri pamoja na madhehebu mengine ni tofauti?

    Jamani Katoliki ndo nn.Au mnaamanisha Catholic,Catholic maana yake mahali pote.Sasa mnamaanisha nn mnaposema mahali pote Alafu tutofautishe Catholic Church na Roman Catholic Church.Hivi ni vitu viwili tofauti.Catholic Church ni kanisa la Mungu la mahali pote,hili siyo jengo wa shirika.Ila jumla...
  2. I

    Biblia wanayotumia Wakotoliki na wanayotumia Walutheri pamoja na madhehebu mengine ni tofauti?

    Brother,unajiabisha.Kuna majitu hapa yamesoma church History objectively.Yakasoma Theology objectively.Yanajua maeneo yenye ukinzani bila kuathiri imani,yenye ukinzani kwa kuathiri imani.Yanajua perspectives zote.Yanakucheki tu na elimu yako ya divinitu ya foem six.Yanaku enjoy tu. Kwanza...
  3. I

    Kabla ya kununua gari, hakikisha unajua bei za spea za gari unalotaka kununua

    Nilikuwa nafikiria kubadilisha gari.Nimefanya ka utafiti kaangu kadogo,gari ambayo mafuta ni wastani,vipuri vinapatikana kwa urahisi.Ina mwendo na stability.Naona hiyo.Najichanga changa,si unajua sisi makabwela.
  4. I

    Kabla ya kununua gari, hakikisha unajua bei za spea za gari unalotaka kununua

    Umeongea jambo la maana sana.Ndo maana tunakomaa na vi Carina T.I .Siyo kwamba hatupendi ndinga za maana.Shida ni spare baba.Unazunguka kariako yoote.
  5. I

    Wapalestina Gaza washangilia Iran kuipiga Israel. Chakula chaanza kupatikana masokoni

    Mm nashangaa watu walivyo waongo,Israel imechakazwa vibaya sana.Miji lama telaviv sasa hivi magofu tu.Mabomu yote yalipenya,yamedakwa 1% tu
  6. I

    Natafuta mke kiportable

    Kwani viportable ni shida.
  7. I

    Natafuta mke kiportable

    Jamani,kila mtu na vipaumbele vyake. Natafuta mke kiportabkr lakininawe na tako.Elimy kuanzia form 4 angalau. Awe na mtoto au laa,mm sina shida.Dm me
  8. I

    Wanaosema kwamba Israel ilipora ardhi ya Palestina Wapitie hapa, watu walirudi kwao kuishi kwenye ardhi ya babu zao iliyoporwa kimabavu

    Kamanda mmoja wa Kiyahudi,walipokuta makambi ya kuwaua wayahudi na miili ya watu waliokufa,na walio hai ila wameisha mmili.Aliwaambia wapige picha na kuchukua kumbukumbu zote inavyowekezana.Maana wataibuka watu na kusema,hayajawahi kutokea mauaji yoyote dhidi ya wayahudi. Ni kweli leo,mmojawapo...
  9. I

    Serikalini; Utaratibu wa Ujenzi kwa Kutumia Force Account hauna Ufanisi ,turudi kutumia Wakandarasi

    Watu wanapotekeleza mradinkwa kutumia force account.Hawajenhi tu kama wanavyoyaka,wanatumia specifications zilizotolewa na wahandisi.Shida wahandisi wetu,wamekariri.Lazima ukuta uskim na white cement,lazima uweke gypsum,lazima uweke tiles.Ila hawatoi indepth echnicalities za kufanya hayo. Alafu...
  10. I

    Utaratibu wa Kutunza Document. Posta/ Bank

    One of the functions of a bank is custodian of valuable items.Visit one of the nearest banks
  11. I

    Serikalini; Utaratibu wa Ujenzi kwa Kutumia Force Account hauna Ufanisi ,turudi kutumia Wakandarasi

    Miradi ya kujengwa na wakandarasi ambayo itakuwa na ubora ni ile ya makampuni ya kimataifa tu basi.Lakini eti sijui wakandarasi wa ndani,hao ni wababaishaji hakuna mfano.Kazi zinafanyika kwa kusua sua sana,ubora mpaka unajiuliza hivi hapa kuna mhandisi au kilaza mmoja hivi.Alafu mara...
Back
Top Bottom