Recent content by inspectorbenja

  1. I

    Pikipiki za Umeme Tanzania: Okoa hadi TSh 450,000 ya Mafuta kwa Mwezi kwenye Delivery

    Matenki yake mabaya kama ya boxer.Mnashindwa hata kuwa na matenki mazuri kama ya Honda CB au Hauojue Individual Kusema ukweli matenki yake mabaya sana.Mmechukua frame na tenkinla boxer mmepachika vifaa vya motor ya umeme. Rekebisheni hilo
  2. I

    Okoa gearbox ya gari yako sasa

    Hii inanyesha gearbox Yako ni Cvt na siyo gearbox ya kawaida.Hiyo inaineoqna belt imekatika,mara nyingi inasababishwa na kutumia oil isiyo sahihi.Hiyo inaytengeneseka,nenda kwa mafundi gearbox ilala pale dar.Wanatengeneza hiyo,wanabadilisha belt,aidha unaweza kuagiza hiyo belt iliyokatika...
  3. I

    Okoa gearbox ya gari yako sasa

    Hii inanyesha gearbox Yako ni Cvt na siyo gearbox ya kawaida.Hiyo inaineoqna belt imekatika,mara nyingi inasababishwa na kutumia oil isiyo sahihi.Hiyo inaytengeneseka,nenda kwa mafundi gearbox ilala pale dar.Wanatengeneza hiyo,wanabadilisha belt,aidha unaweza kuagiza hiyo belt iliyokatika...
  4. I

    Fahamu kuhusu kundi la De plow Matz

    Inasimitisha sana siku hizi Saigoni kachanganyikiwa.Kurap hawezi tena.Anajifabya anafreestyle hatungi.Matokeo yake akiimba anaharibu kazi alizoshirikishwa.Minato hamna,ladha hamna,ushauri hamna,utulivu hamna.Saigoni wa Sasa ki uwezo wa kurapnsiyo yule wa kipindi kile. Sijui jamaa ni drug addict...
  5. I

    Programmers msimuamini sana AI

    Mzee wa kuandaa taa
  6. I

    Kwanini Netanyahu waziri mkuu wa Israel wanamuita bibi?

    mmonly called “Bibi” because it is his childhood nickname. Why “Bibi”? In Hebrew-speaking families, it’s common to shorten names into affectionate nicknames. Benjamin → “Bibi” became the nickname used by his family and friends when he was young. The nickname stuck and followed him into public life.
  7. I

    Mbunge Musukuma na Usomi phobia, kutokusoma siyo sifa!!

    Tatizo ni tafsiri ya maana ya elimu.Tumekaririshwa kuwa elimu ninike rasmi tu,ukae darasani,ufanye Mtihani,utoke na matokeo ya cheti kizuri,alafu tunakuwa waabufu urasimu na maripoti mengi ambayo hayana tija.Hiyo ndo tunaona ni elimu. Ila ukija suala la maana halisi ya elimu,msukuma na yeye kwa...
  8. I

    wenye gari zenye cvt mna hakikishaje mnanunua oili orijino kwajili ya cvt ?

    Ishu ya CVT inahitaji umakini Mkubwa sana.La sivyo,umeua gearbox.Na wengi ukiwauliza swali kuhusu CVT ,hawaelewi umemuuliza nn,utajibiwa kitu ambacho hujauliza. Kwa uzioefu wangu,kama gari Yako ina user manual,itakupa maelekezo.Shida,wengi magari yetu tunayonunua kieyeji mikononi mwa watu hata...
  9. I

    Ni kwanini watanzania wengi bado wanapenda magari ya zamani yenye gearbox za 4AT badala ya gearbox za kisasa yenye CVT ?

    Tunakoepekea,CVT haitakwepeka. Lakini matengenezo ya CVT kama spare zipo ni very cheap.Gearbox haina mambo mengi,ni chain,clutch pack na vitu vichache sana.
  10. I

    Naandika kwa uchungu mkubwa sana: Hii gearbox ya CVT ya Swift inanitesa sana

    Wadau Salam Nilipata changamoto ya gearbox.Nilipeleka Ilala,vijana wakaifungua na kuirekebisha.Nimepachika,gari Iko mukide kabisa.
  11. I

    Naandika kwa uchungu mkubwa sana: Hii gearbox ya CVT ya Swift inanitesa sana

    Nikipompigia simu miraba minne.Alisema hana uelewa na mambo hayo
  12. I

    NAUZA ENGINE K12 B

    Jamani injini siuzi tena.Chombo imepona ipo barabarani Nawasilisha
  13. I

    NAUZA ENGINE K12 B

    Milioni moja kiongozi,maongezi yapo
Back
Top Bottom