Jamani Katoliki ndo nn.Au mnaamanisha Catholic,Catholic maana yake mahali pote.Sasa mnamaanisha nn mnaposema mahali pote
Alafu tutofautishe Catholic Church na Roman Catholic Church.Hivi ni vitu viwili tofauti.Catholic Church ni kanisa la Mungu la mahali pote,hili siyo jengo wa shirika.Ila jumla...
Brother,unajiabisha.Kuna majitu hapa yamesoma church History objectively.Yakasoma Theology objectively.Yanajua maeneo yenye ukinzani bila kuathiri imani,yenye ukinzani kwa kuathiri imani.Yanajua perspectives zote.Yanakucheki tu na elimu yako ya divinitu ya foem six.Yanaku enjoy tu.
Kwanza...
Nilikuwa nafikiria kubadilisha gari.Nimefanya ka utafiti kaangu kadogo,gari ambayo mafuta ni wastani,vipuri vinapatikana kwa urahisi.Ina mwendo na stability.Naona hiyo.Najichanga changa,si unajua sisi makabwela.
Kamanda mmoja wa Kiyahudi,walipokuta makambi ya kuwaua wayahudi na miili ya watu waliokufa,na walio hai ila wameisha mmili.Aliwaambia wapige picha na kuchukua kumbukumbu zote inavyowekezana.Maana wataibuka watu na kusema,hayajawahi kutokea mauaji yoyote dhidi ya wayahudi.
Ni kweli leo,mmojawapo...
Watu wanapotekeleza mradinkwa kutumia force account.Hawajenhi tu kama wanavyoyaka,wanatumia specifications zilizotolewa na wahandisi.Shida wahandisi wetu,wamekariri.Lazima ukuta uskim na white cement,lazima uweke gypsum,lazima uweke tiles.Ila hawatoi indepth echnicalities za kufanya hayo.
Alafu...
Miradi ya kujengwa na wakandarasi ambayo itakuwa na ubora ni ile ya makampuni ya kimataifa tu basi.Lakini eti sijui wakandarasi wa ndani,hao ni wababaishaji hakuna mfano.Kazi zinafanyika kwa kusua sua sana,ubora mpaka unajiuliza hivi hapa kuna mhandisi au kilaza mmoja hivi.Alafu mara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.