Kaka kama fedha za Elimu Bure Hazitoshi kuemdesha shule,unadhami zitaendeshwaje.
Watu Huwa wanalopokanlopoka tu,hawajui ilivyo gharama KUBWA sana kuendesha shule.
Hata siasa za Middle East
Acha uongo,hata siasa za Middle East anaokoteza okoteza habari kwenye media ambazo zinafadhiliwa na Qatar,anaunganunga na kujifanya mchambuzi.Anapotoshanmno.
Da,Mzee huyu kichwa ngumu sana.Kila akiambiwa maandiko Yako yanasheresha mahaba mazito uliyonayo kwa dini Yako.Anajifanya kichwa kigumu.
Alafu anaposema tatizo la udini tunalo,ana maanisha nn.Maana Mfano Sasa hivi inaonekana kama Kuna dini ambayo yenyewe ndo ipo kwenye safu zote.Ayansasa Hilo...
Mmekariri chuo kikuu ni mpaka kuteseka BILA sababu za Msingi.Alafu.ukitoka apo unaishiankuwa kama Prof Osoro-i did not wake up well today.
Acheni kukariri elimu
Tafuta gari la Mil sita,badili engine weka engine ya Mtumba haizidi hata mil mbili,fedha nyingine paka Rangi quality,rekebisha mfumo wa aC,na matengenezo madogo madogo.Unaoata kitu kioya kinyemi kabisa.
Poleni sana.Kwa kweli Mimi Huwa nikisikia meno AMCOS,Huwa najua hapo ni kudhulumiwa tu.Na Imani yangu ni kuwa AMCOS ndo chanzo Cha umaskini wa watanzania
Watu wengine Huwa Hawaii serious kabisa.Yaani ndo wamekaa chini na kuja na hako kadide,yaani kana muonekano mbaya.Kwani KULIKUWA na ubaya Gani bodi likawa kama pikipiki ya kawaida alafu engine ndio ikawa ya umeme.
Hako ni kabaya,hamtaoata wateja isipokuwa mmoja moja sana..
Poor research,poor design.
Salam,nimerudi tena kuelezea kilichonikuta.Hoe wengine watajifunza.Niliuliza swali kuwa Suzuki Swift second generation inatumia oil Gani ya gearbox.Hakuna aliyenijibu.Nikajaribu kuukiza uliza watu mbalimbali Hadi baadhi ya mafundi.Si unajua Niko country side,wakaniambia atf ya kawaida.Mzee...
Zote ni Bora,zote ni ngumu zote ni imara, zote engine zake ni roho ya paka.Tofauti yake ni hii.
First generation ina ufinyu wa nafasi kidogo, halafu muonekano wake ni kama wa kizamani kidogo, ila Hilo suala la kisaikolojia, halina maana yoyote.
Second generation, nayo ni imara vile vile, tena...
Matenki yake mabaya kama ya boxer.Mnashindwa hata kuwa na matenki mazuri kama ya Honda CB au Hauojue Individual
Kusema ukweli matenki yake mabaya sana.Mmechukua frame na tenkinla boxer mmepachika vifaa vya motor ya umeme.
Rekebisheni hilo
Hii inanyesha gearbox Yako ni Cvt na siyo gearbox ya kawaida.Hiyo inaineoqna belt imekatika,mara nyingi inasababishwa na kutumia oil isiyo sahihi.Hiyo inaytengeneseka,nenda kwa mafundi gearbox ilala pale dar.Wanatengeneza hiyo,wanabadilisha belt,aidha unaweza kuagiza hiyo belt iliyokatika...
Hii inanyesha gearbox Yako ni Cvt na siyo gearbox ya kawaida.Hiyo inaineoqna belt imekatika,mara nyingi inasababishwa na kutumia oil isiyo sahihi.Hiyo inaytengeneseka,nenda kwa mafundi gearbox ilala pale dar.Wanatengeneza hiyo,wanabadilisha belt,aidha unaweza kuagiza hiyo belt iliyokatika...
Inasimitisha sana siku hizi Saigoni kachanganyikiwa.Kurap hawezi tena.Anajifabya anafreestyle hatungi.Matokeo yake akiimba anaharibu kazi alizoshirikishwa.Minato hamna,ladha hamna,ushauri hamna,utulivu hamna.Saigoni wa Sasa ki uwezo wa kurapnsiyo yule wa kipindi kile.
Sijui jamaa ni drug addict...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.