Bajeti ya 12 M napata gari gani?

Bajeti ya 12 M napata gari gani?

Tafuta gari la Mil sita,badili engine weka engine ya Mtumba haizidi hata mil mbili,fedha nyingine paka Rangi quality,rekebisha mfumo wa aC,na matengenezo madogo madogo.Unaoata kitu kioya kinyemi kabisa.
 
Kuna jamaa kule matangazo m 6-7 unachukua mkweche Safi box la spana kilo tu mtafute na fundi maiko umeisha hiyo,na unaunga urafiki na wauza maduka ya spea baaas
😅😅😅😅BMW akalipaki kama urembo
 
Back
Top Bottom