Recent content by inakuaje

  1. I

    Wito kwa walimu: Usimwadhibu mwanafunzi hata akikutukana, mshukuru Mungu tu

    Mlikua mnapigwa na kuni vichwani???acha kutetea upumbavu labda kama huna watoto wewe na wala huujui uchungu wa mwana
  2. I

    Kuwa tajiri kwa mtaji wa laki 3 tu kupitia ufugaji wa kuku wa kienyeji

    Mwenye interest pitia hizo document ila inawezekana kwa mwenye nia wala tusikatishane tamaa maana usawa mbovu huu
  3. I

    Kuwa tajiri kwa mtaji wa laki 3 tu kupitia ufugaji wa kuku wa kienyeji

    umenena ukweli mtupu Nimeanza mwezi March na kuku 35 tu Leo ninao kuku 120 (110 ni vifaranga na mayai tunaokota karibu 5 kila siku) Ninaona taa ya kijani mbele maana soko ni uhakika kabisa
  4. I

    Toyota premio inauzwa

    Hilo sio jibu la mtu aliyestaarabika kabisa maana kasema pesa aliyonayo kuwa ni mil 7 sasa kuitana mbwa na mara kapeleke kwa baba yake yanaingiaje hapa!ingekua busara kama ungemjibu tu kistaarabu kua pesa hiyo haitoshi
  5. I

    Mkusanyiko wa matukio ambayo yameshawahi nitokea

    zaidi ya simulizi sijawahi shuhudia matukio hayo mkuu!nahisi siku yakinitokea ntazirai kwa kihoro
  6. I

    Mkusanyiko wa matukio ambayo yameshawahi nitokea

    duuh inatisha sana endelea mkuu......
  7. I

    Njia ya maisha yangu ilipofungwa ghafla

    pole sana mtoa mada kama ndie mhusika kuna watu wana roho mbayaaa zaidi ya shetani mwenyewe
  8. I

    Johari: Nimeshakua sasa, kiukweli nina kiu ya mume

    single mom katika ubora wake
  9. I

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    inawezekana bosi!yangu ilikuja na rim size 17 sport from japan na ipo poa tuu
  10. I

    PICHA: Ziara ya Rais Magufuli nchini Rwanda

    Long live my beloved President JPM
  11. I

    Mada maalum ya magari: Uzoefu, ushauri na maswali

    Mkuu Mshana naomba kujuzwa nimeagiza engine oil ya gari RAV 4 ya mwaka 1997 nimeletewa ya BP (Visco 3000 SAE 20W-50).Kwa gari hiyo inaweza kua oil sahihi???
Back
Top Bottom