Ndugu waislam tuache kukosa shukrani, uikiangalia katika historia, mwarabu alilpoleta uislam alijenga msikiti basi. Lakini mzungu alipoleta ukristo Africa alijenga kanisa, hospitali na shule kwa pamoja, sasa iweje leo muanze kuhoji kuwa vyuo vikuu vingi ni vya kikristu? ni kweli kwa sababu ni...