Recent content by imamu

  1. I

    Ikulu yawajibu walimu, yasema mgomo ni Batili, kesi iko mahakamani

    Watuambie kama hapo pia CHADEMA wamehusika
  2. I

    Diwani wa Kata Ya Mondo Kondoa Dodoma asema ALOMTEKA DR. ULIMBOKA NI SHUJAA

    Yeye kwa akili yake fupi anadhani agenda kubwa ni mshahara, aende hospitali yoyote anayoijua aone jinsi watu wanavyojifungulia chini. Aulize kama kuna X-ray na CT scan. Mungu amsamehe kwa kuwa ajui alitendalo
  3. I

    Idara ya Usalama wa Taifa yakanusha tuhuma

    Wauwaji wakubwa nyie, mlimuua Zongo na watuumiwa wakaachiwa kwa ujanja ujanja, kama kweli hamhusiki kwanini msimkamate aliyempigia simu ulimboka daklika za mwisho? wakati Dr Ulimboka kamtaja kuwa mara ya mwisho aliwahi kufanya nae mazungumzo Ikulu? Kwa kifupi sisi wananchi hatuna usalama wa...
  4. I

    JK: Ni Marufuku kipengele cha Dini kwenye Sensa

    Kwahiyo kama waislam wengi bara mtaambia watalii wavae ijabu?
  5. I

    JK: Ni Marufuku kipengele cha Dini kwenye Sensa

    Hapa maustaadhi wanataka kufanya maisha magumu, kwani wametaka kujenga msikiti, shule au investment wakanyimwa, it is nonsense
  6. I

    Redundancy kubwa kutua NSSF/PPF/GPF

    This time hatukubali, hii serikali imeshaona kuwa wafanyakazi ni mazezeta, nikiacha kazi kwenye NGO nikawa mfanyabiashara niache milioni mbili zangu huko hadi miaka 55? this is stupid
  7. I

    Mgogoro ndani ya CHADEMA!?

    CHADEMA tunawapenda tu hata kama wakiwa na migogoro, jamii isiyo na migogoro ni jamii iliyokufa kiakili
  8. I

    Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

    Ndugu waislam tuache kukosa shukrani, uikiangalia katika historia, mwarabu alilpoleta uislam alijenga msikiti basi. Lakini mzungu alipoleta ukristo Africa alijenga kanisa, hospitali na shule kwa pamoja, sasa iweje leo muanze kuhoji kuwa vyuo vikuu vingi ni vya kikristu? ni kweli kwa sababu ni...
  9. I

    AG Kumshtaki Tundu Antipas Lissu

    Kweli kabisa, wauwaji hao
  10. I

    Ahsante Halima Mdee...

    Pamoja kuwa mimi ni mwislam lakini mwenzetu hapo umepotosha, ukifurahishwa na usemi kwenye kitabu cha dini waweza kuutumia. Ndo maana watu wengi hata si waislam inshallah nk. Hiyo akili chafu mnayoitumia CCM imepitwa na wakati, kila chama kinachokuja juu mnakizushia udini kama mlivyo izushia CUF...
  11. I

    Dr. Slaa aitolea nje serikali ya Tanzania

    Sawa Slaa, tunakuunga mkono baba, hii serikali ya kiuaji hatuna imani nayo tena. Wakaojiane wenyewe
  12. I

    BAKWATA yatangaza rasmi waislam kugomea sensa!

    Udini hausaidii, hapa siyo Nigeria. Kwani wakijua Idadi yenu inasaidia nini? Au kuna mahitaji special kwa ajili ya waislam? Au mkiomba kiwanja cha msikiti au shule za kiislam mmenyimwa?
  13. I

    Chama cha Madaktari Tz chawasilisha maombi UN ya ulinzi kwa viongozi wake

    Hii Serikali ya kimafya, imekosa aibu hata kidogo. Mafisadi wanaangaika kuhakikisha kuwa maslahi yao soku zote yanabaki palepale kwa kuua wanaharakati na wapinzani. Kitendo cha kudhani wamemuua Dr. Ulimboka kisha akatoka mzima kimewadharirisha. Kwa staili hii sidhani kama Watanzania tunatakiwa...
  14. I

    Ajira za udom mbona hazipitii sekretarieti ya ajira? Serikali mulika udom

    Mwaka wa ajira uliopita UDOM walituita kwenye interview. Hawakuchagua wenye sifa. Walituita watu wote tulioomba kazi. Matokeo yake kada moja ya nafasi 4 tulijikuta watu zaidi ya 5,000 tulienda kwenye interview. Pamoja na hayo, walitufanyisha interview ya kuandika kwa madai kuwa watakaofaulu...
Back
Top Bottom