Mbegu;4232761a52a2a]Lissu ni mtaalam wa sheria za mazingira, na si mtaalam wa sheria za katiba, upo hapo ? kwa minajili hiyo basi utajua Lissu ni limbukeni wa sheria, na ni mpayukaji tu, kwa nyie mnaopenda hata mmeisha ingia upofu
jaffary, wewe si mjinga. Jipime mwenyewe. Lissu kweli si mtaalamu wa mazingira. Huyo AG wenu ambaye JK anamsikiliza kwa kila kitu ni mtaalamu wa sheria zote?
Mbegu;4232761a52a2a]Lissu ni mtaalam wa sheria za mazingira, na si mtaalam wa sheria za katiba, upo hapo ? kwa minajili hiyo basi utajua Lissu ni limbukeni wa sheria, na ni mpayukaji tu, kwa nyie mnaopenda hata mmeisha ingia upofu
[/COLOR]
wakiendelea kumfatilia lisu wataaibika zaidi na zaidi!Ni kutokana na kauli yake ya dharau kwa majaji wa mahakama kuu na kuwataja kwa majina wahusika katika sakata la Ulimboka!
mkuu unaonekana una haraka sana, wengine hatukufanikiwa kufuatilia bunge, sasa unge tu brief kdgo kasema vipi ningeshukuru sana kwa niabaNi kutokana na kauli yake ya dharau kwa majaji wa mahakama kuu na kuwataja kwa majina wahusika katika sakata la Ulimboka!
Wewe umekurupuka ni kwa ajili ya pamapas kukubana au inakuwashawasha. Kwani la uongo alilosema ni lipi? Kwani hao majaji wa jk anaowachagua wana vigezo vinavyostaili? sio wote, na wengi ni fadhila analipa na wengine ni marafiki na watu wake karibu. Lissu hajawadharau majaji hata kidogo, alisema kweli kabisa, unajua dharau ni nini wewe au akili zako ni sawa na za magamba? maana magamba kutukana hawajambo ila mtu akiongea facts wanasema katukana. Ni kweli Mhimili wa mahakama siku hizi umekuwa sio wa kutenda haki bali kujinufaisha kwa rushwa. Katiba mpya rais asiteue majaji bali watume maombi na kujadiliwa na kupitishwa, maana udhaifu wa rais unatuharibia sana. wewe unategema mtuhumiwa wa richmond akifikishwa mahakamani au lulu thn jaji anayesikiliza hiyo kesi wawe 2 au 3 na ni wa fadhilia za rais watamtia hatiani huyo mtuhumiwa? si watapeleka taarifa kwa rais kumuomba atoe maamuzi yeye.Umeongea upuuzi think bigLissu nadhani wakati mwingine huwa narukwa kidogo na fahamu, kwani kwa kauli yake ya leo juu ya kuwadharau majaji ni wazi kabisa amepotoka, na hakuna mtu mwenye akili timamu anaeweza kumtetea Lissu labda awe na moyo wa chuma
Mbegu;4232761a52a2a]Lissu ni mtaalam wa sheria za mazingira, na si mtaalam wa sheria za katiba, upo hapo ? kwa minajili hiyo basi utajua Lissu ni limbukeni wa sheria, na ni mpayukaji tu, kwa nyie mnaopenda hata mmeisha ingia upofu
[/COLOR]
Ni kutokana na kauli yake ya dharau kwa majaji wa mahakama kuu na kuwataja kwa majina wahusika katika sakata la Ulimboka!
Inatosha kukuita mpumbavu!Lissu amekuwa mdogo kama pilton, amepewa hata mike kuongea amekataa, ameshikwa pabaya na ameingia choo cha kike leo, hana pa kutokea
Mbegu;4232761a52a2a]Lissu ni mtaalam wa sheria za mazingira, na si mtaalam wa sheria za katiba, upo hapo ? kwa minajili hiyo basi utajua Lissu ni limbukeni wa sheria, na ni mpayukaji tu, kwa nyie mnaopenda hata mmeisha ingia upofu
jaffary, wewe si mjinga. Jipime mwenyewe. Lissu kweli si mtaalamu wa mazingira. Huyo AG wenu ambaye JK anamsikiliza kwa kila kitu ni mtaalamu wa sheria zote?
ni kwel kabisa huwezi kutumia kigezo eti Lissu amesoma Environmental law na kwamba hajui constitutional law! Constitutional law ni core subject linalofundishwa 1st year so basic constitutional issues mh. Lissu anazifahamu! Na hiyo bado siyo point, chakuhoji ni kuwa alichosema lissu kwa mfano wanajeshi kikatiba hawatakiwi kuwa member of any political party at the same time tuna wanajeshi ambao not retired but DC's, RC's who automaticaly ccm members!
Ni kutokana na kauli yake ya dharau kwa majaji wa mahakama kuu na kuwataja kwa majina wahusika katika sakata la Ulimboka!
Lissu ni mtaalam wa sheria za mazingira, na si mtaalam wa sheria za katiba, upo hapo ? kwa minajili hiyo basi utajua Lissu ni limbukeni wa sheria, na ni mpayukaji tu, kwa nyie mnaopenda hata mmeisha ingia upofu
Ni kutokana na kauli yake ya dharau kwa majaji wa mahakama kuu na kuwataja kwa majina wahusika katika sakata la Ulimboka![/QUOTE]
jamani hapo pa kali km kweli Tobo Lisu aliwataja hao wahusika tujuzeni kwani wote tunafuatilia tusitwishane ujinga, na kuwachokoza majaji ni Dhahama wao ndio wameshikkilia Mpini je? mnamkumbuka Lema
/