JK: Ni Marufuku kipengele cha Dini kwenye Sensa

kama ni kweli kayasema hayo nampongeza naningependa aendelee namsimamo huo! wao kama wanataka kujua idadi yao wajihesabu then watoe idadi yao! big up mr DHAIFU KWA HILO!
 
Kama ni kweli ni maneno yake jk basi ametamka maneno yenye hadhi ya mkuu wa nchi. Kuna mijitu itadhani ametumwa na kikundi fulani. Mijitu ya aina hiyo ilipeleka likizo akili na busara zao.
 
Source Habari Leo na Jambo leo

Akiwa mjini Mbeya rais J. Kikwete kasema kuwa ni MARUFUKU kuweka kipengere cha dini kwenye hesabu ya sensa na makazi itakayo anza mwezi ujao na kusisitiza kuwa dhamila ya serikali ni kujua idadi ya watu wake sio idadi ya waumini wa Tanzania na kuainisha kuwa vitu vya msingi ni;

Kujua idadi ya watu kwa maendeleo ya mipango ya serikali tu hakuna cha ziada.

Concern

LIWALO NA LIWE

Nafikiri unahitaji kufunguka zaidi na kufikiria nje ya box.
Kwani hapo rais wenu ame generalize mambo kwa mtaji wa kisiasa sio kiuchumi.

Kuwa katika idadi ya watu lakin kuna mambo muhimu kama kwa maendeleo ya kijamii mbali na kupata idadi lakin yafuatayo katika hiyo idadi ni muhimu sana.
1. Umri
2. Elimu
3. Jinsia
4. Hali ya binadamu kama Ulemavu
5. Imani zao kwani hizi zinaingia katika profile zenu za nchi yenu ikiwa pamoja na mila na desturi zenu hususan mnapovutia watalii.
mathalan tuchukulie Znz unapoandika profile unasema wazi hii ni sehemu ya waislam wengi na unataja idadi na kuwawezesha watalii wajue kuna wanakwenda islamic area na namna gani wa-behave wakiwa huko mfano katika mwezi wa ramadhani.

Suala hilo hata kwenye ndege limo naulizwa imani yako ili upewe chakula kwa mujibu wa imani yako na si vinginevyo. Nashangaa kwanini TANGANYIKA mnalipinga hilo. Mimi nafikiri kuna kitu nyuma ya pazia kwa suala hili.

 
Source Habari Leo na Jambo leo

Akiwa mjini Mbeya rais J. Kikwete kasema kuwa ni MARUFUKU kuweka kipengere cha dini kwenye hesabu ya sensa na makazi itakayo anza mwezi ujao na kusisitiza kuwa dhamila ya serikali ni kujua idadi ya watu wake sio idadi ya waumini wa Tanzania na kuainisha kuwa vitu vya msingi ni;

Kujua idadi ya watu kwa maendeleo ya mipango ya serikali tu hakuna cha ziada.

Concern

LIWALO NA LIWE

tungependa kujua wahindi, waarabu, wazungu, n.k wako wangapi hii inafanyika nchi zote duniani kwa sababu za kitaifa na kiusalama zaidi.
 
Mimi nilikuwa najiuliza kwanini ATAMKE HIVYO AKIWA MBEYA na sio Dar?.

Nikagundua Mbeya ni mkoa unaongoza kwa kuwa na makanisa na madhehebu mengi sana katika Tanzania. au wenzangu mnafikiriaje?

AKILI ZINGINE BHANA..... Hivi alipotamka Mahakama ya kadhi mtaisimamia wenyewe alikuwa Mbeya au MSIKITINI dodoma?

Mbona Kikwete ndo anaongoza kwa kuongea na Wazee wa dar kila Mwezi. Au umekurupuka mkuu
 
Hawa jamaa wanamsimamo wa kijinga sana. nia yao ni kwamba sensa itawatoa wao ndio wengi kama ilivyofanya mwaka 1967 kwa mujibu wa sheikh Issa akihojiwa na BBC jana jioni.

Hivyo kwa wingi wao wanataka nafasi sawa za Madaraka, Uongozi na si kama ilivyo sasa hivi. Pia Isa anasema siku hizi nao wana Elimu ya kutosha kwa kuwa zamani walikosa Madaraka kwa kutosoma. Pia wanataka habari ya HIJA kwa wingi wao isimamiwe na serikali kama wafanyavyo Saudi Arabia.

Nampongeza aliyeondoa kipengele hiki kwenye sensa kwa kuwa hawa wakijua wako wengi nchi hii itatawaliwa kwa SHARIA. Asante Rais wetu endelea kuwapa makavu.
 
That must be a gvt stand, idadi ya waumini inasaidia nini zaidi ya chokochoko? waislam madrasa na shule, wakristo kanisa na shule. At the end wasomi wa kiislam wataongezeka, baadae tutabalance, kulalamikia hakutasaidia, ukweli haufutwi kwa malalamiko. Anglican diocese of Dar wanatarajia kutangaza idadi ya waumini wao baada ya kufanya sensa yao, wengine nanyi igeni msilalamike tu. wakati we unalalamika wenzako wanatake action kesho mtalalamika wenzetu wanajua idadi yao. System ya kuanzisha jumuia za nyumba kwa nyumba ni zaidi ya sensa, walianza wakatoliki waanglican wakaichungulia nao wameshaanzisha. Lalama wenzako wanasonga

Shekh ponda katangaza kuna thread humu inahoji ponda hizo takwimu kazitoa wapi..? Huoni kwamba tukifanya wenyewe mtakuja kuhoji tena kuhusu takwimu..
 
Hakuna Jipya, mwisho wa ck anayetaka atashiriki na asiyetaka atakaa pembeni.
Ila binafsi sioni tatizo kuweka kipengele cha dini ktk sensa, nchi nyingi duniani zinafanya
na wala hukuna tatizo. Inaelekea kuna watu wanahofu zisizo na msingi.

Ni kweli hakuna haja ya kuogopa kuweka kipengele hicho. Ni zipi sababu za msingi za kukataa au ni tatizo gani lilatokea ikijulikana idadi ya watu kwa imani zao? Serikali inakubali kuwa wananchi wake wana Dini sasa iweje leo ikatae kujua idadi yao kidini? Mind you Ukristo na Uislamu sio dini pekee duniani/
 
Mi napendekeza kwamba, kwenye sensa kuwepo na swali linalouliza
-Je, wewe ni muislamu? Ndio/Hapana
Majibu yake yatasaidia kuwajulisha waislamu wako wangapi. Dini zingine hazijaonyesha interest ya kutumia sensa ya serikali kujua idadi ya waumini wake, so hakuna haja ya kujua nani dini gani, unless ni muislamu.
 
Kwa hakika nchi kuwa na takwimu zinazohusu imani za dini za wananchi wake sio kitu kibaya. Lakini takwimu kama hizi zinakuwa na tija kwa taifa ambalo watu wake walio wengi wamepata elimu na uelewa wa kutosha. Hapa kwetu Tanganyika taarifa kama hii inahitaji isubiri hadi sensa ya 2042 kwa matarajio kuwa baada ya miongo mitatu kuanzia sasa kizazi kipya na kijacho kitakuwa kimepata fursa ya kupata elimu bora.
 
Nampongeza sana Mhe.Rais Kikwete kwa tamko hilo. Sasa ndo napata jibu,kumbe J.K anaipenda Tanzania na siyo dhaifu always!
 
Source Habari Leo na Jambo leo

Akiwa mjini Mbeya rais J. Kikwete kasema kuwa ni MARUFUKU kuweka kipengere cha dini kwenye hesabu ya sensa na makazi itakayo anza mwezi ujao na kusisitiza kuwa dhamila ya serikali ni kujua idadi ya watu wake sio idadi ya waumini wa Tanzania na kuainisha kuwa vitu vya msingi ni;

Kujua idadi ya watu kwa maendeleo ya mipango ya serikali tu hakuna cha ziada.

Concern

LIWALO NA LIWE

Unaweza kukuta keshasaini sheria ya kuwapo kipengere cha dini...ila kasahau.
 
Nafikiri unahitaji kufunguka zaidi na kufikiria nje ya box.
Kwani hapo rais wenu ame generalize mambo kwa mtaji wa kisiasa sio kiuchumi.

Kuwa katika idadi ya watu lakin kuna mambo muhimu kama kwa maendeleo ya kijamii mbali na kupata idadi lakin yafuatayo katika hiyo idadi ni muhimu sana.
1. Umri
2. Elimu
3. Jinsia
4. Hali ya binadamu kama Ulemavu
5. Imani zao kwani hizi zinaingia katika profile zenu za nchi yenu ikiwa pamoja na mila na desturi zenu hususan mnapovutia watalii.
mathalan tuchukulie Znz unapoandika profile unasema wazi hii ni sehemu ya waislam wengi na unataja idadi na kuwawezesha watalii wajue kuna wanakwenda islamic area na namna gani wa-behave wakiwa huko mfano katika mwezi wa ramadhani.

Suala hilo hata kwenye ndege limo naulizwa imani yako ili upewe chakula kwa mujibu wa imani yako na si vinginevyo. Nashangaa kwanini TANGANYIKA mnalipinga hilo. Mimi nafikiri kuna kitu nyuma ya pazia kwa suala hili.


Kwa hiyo ukishaweka hicho kipengele cha dini...unataka tunapotangaza migodi "Tanganyika" tuseme hii ni sehemu ya wakristo kwa wingi??? think out of the box bro!!!.

Kwa nini msiandae pesa zenu mkaesabiana?? Unafikiri kuna mtu atawabughudhi??

Wenzenu wakristo na wapagani hawajataka kujua wako wangapi??? Nyie ndo mnataka kujua...then andaeni fund yenu
 
Hapa maustaadhi wanataka kufanya maisha magumu, kwani wametaka kujenga msikiti, shule au investment wakanyimwa, it is nonsense
 
Kwa hiyo ukishaweka hicho kipengele cha dini...unataka tunapotangaza migodi "Tanganyika" tuseme hii ni sehemu ya wakristo kwa wingi??? think out of the box bro!!!.

Kwa nini msiandae pesa zenu mkaesabiana?? Unafikiri kuna mtu atawabughudhi??

Wenzenu wakristo na wapagani hawajataka kujua wako wangapi??? Nyie ndo mnataka kujua...then andaeni fund yenu


Hebu pitia Taarifa hizo zipo kwenye tovuti ya tanzania Tourist Board (ambayo ipo chini ya wizara ya utalii ya Tz ambacho ni wizara ya Serikali ya JMTz) kwenye kipengele cha Dini.
Hebu pitia hapa
Religion » Tanzania Tourist Board

Ambapo imebainisha hivi.
Christianity and Islam are the predominant religions of Tanzania. About 40-45% of the population practice Christianity, about 35-40% practice Islam. The rest of the population adhere to traditional beliefs, most of which centre around ancestor worship and nature-based animism. Most Christians live on the mainland, where missionary stations and schools reach deep into the continent. Islam is the major religion of the coastal areas but is also practiced further inland along the old caravan routes.




Sasa jiulize Serikali ya JMTz kupitia Wizara yake ya Utalii walitoa wapi Takwimu hizi?
 
Kikwete alisimamia kuingizwa kipengele cha kadhi kwenye ilani nawe unasema si mwakilishi wa dini yoyote?

Huyo simba na Bakwata si ndio hao hao waliosema watainyima CCM kura, watasusia sensa - leo wamegeula vipi? Imani huwa inageuka. Askofu akikana imani yake inambidi aenguliwe na mwingine achukue nafasi yake. Sasa mufti leo nataka kesho sitaki.

vidini vingine bana?

Mwenye kigeugeu ni huyo Simba na bakwata yake, dini iko imara.
 
Hmhmmhmhmh KIKWETE ANAENDESHWA NA WANAOMUENDESHA NI KANISA SO WAISLAM KM WAILSAM TUNAIGOMEA SENSA YAO NA HIKO KIPENGERE CHA DINI WATABAKI NACHO WENYEWE,YN TOKEA UKOLONI WAISLAM NI WENG LEO HII MTU ATOKE PA KUTOKA ASEME SIE WACHACHE HAINGII AKILINI NA NDIO MAANA ILA BASI NINA HASIRA NA HII NCHI 1 DAY NITAJITOA MUHANGA NIFE NA HAO VIONGOZI WANAFKI,JWZ KWANZA.

Kwa hiyo ka mpo wengi wakristo wafanyaje.
 
Back
Top Bottom