Recent content by Imalamawazo

  1. Imalamawazo

    JamiiForums Tanzania Elimu na ushauri juu ya uwekaji wa madirisha ya aluminium

    Mkuu karakana yako iko wapi?
  2. Imalamawazo

    JamiiForums Tanzania Tunataka kubadili Sheria ya Tozo ya Warfage kwa manufaa ya nani?

    Katika mjadala wa bajeti ya wizara ya uchukuzi 2024/25 baadhi ya wabunge wanalalamika tozo ya warfage kukusanywa na TRA. Wanataka sheria ibadilike ili tozo hiyo ikusanywe na TPA. Ikumbukwe kuwa hiyo tozo ya warfage ilikuwa inakusanywa na TPA lakini kutokana na malalamiko ya wadau juu ya bandari...
  3. Imalamawazo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimepata manzi mtandaoni single mother anaishi ughaibuni, ananishawishi nihame bongo nifanyeje?

    Nenda ukanyofolewe figo Zingatia: tahadhari hii imetolewa pasipo kusoma content. Nimesoma heading tu
  4. Imalamawazo

    JamiiForums Tanzania Rais Samia awasili nchini Ethiopia

    Unadhani anaposafiri hapigi mpunga? Analipwa ujue!
  5. Imalamawazo

    JamiiForums Tanzania Uzao wa Mkurya aliyezaa na Mkimbizi Afrika kusini Mazimbu Morogoro akiwa kikosi cha Umkomto we sizwe Afrika ya kusini akichapa kazi

    Majamaa wenzao kiutaniutani hivyo huwa yanatoka mbweni hadi msata na kurudi kwa miguu
  6. Imalamawazo

    JamiiForums Tanzania Picha, niambie Shule gani Tanzania ina mazingira Bora kuzidi haya?

    Wakumbukwe Magufuli na Ndalichako. Kuna shule zimejengeka kuzidi baadhi ya vyuo vikuu binafsi.
  7. Imalamawazo

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Ninawapongeza CHADEMA kwa maoni yao ila hoja namba 5 ni ya ovyo

    Hoja nyingine ya hovyo ni kuhusu mgombea binafsi asiwe mwanachama wa chama chochote kwa miezi sita. Sarawat yule muasisi wa ugombea binafsi nchini alikuwa mwana TANU. Sasa hawa hiyo hoja sijui wameitoa kwa misingi gani?
  8. Imalamawazo

    JamiiForums Tanzania APR Imehujumiwa. Tukitaka kuendelea kisoka, Watanzania tuache hizi tabia

    Hizo zote ni off side halali kabisa
  9. Imalamawazo

    JamiiForums Tanzania Ni wife material lakini sivutiwi kimapenzi. Je, nimuoe au nisioe?

    Kama huvutiwi naye huyo siyo wife material kwako, na ukishamuoa ndo utajua kuwa umeuvaa mkenge!
  10. Imalamawazo

    JamiiForums Tanzania Aibu kwa Viongozi: Kurejea kwa Kipindupindu sababu ni Uchafu. Hili la Usafi nalo linamuhitaji Magufuli?

    Wamewaiga akina Bill Gates na covid. Haiwezekani ugonjwa ulipuke maeneo mengi ghafla tu. Mlipuko umekiuka mathematical models za magonjwa ya mlipuko
  11. Imalamawazo

    JamiiForums Tanzania Pongezi kwa viongozi wa TAMISEMI kwa kuleta mfumo wa ESS

    Hatari sana. Kwa akili za watu wetu hiyo inawezekana kabisa. Kama ambavyo wanadanganyika hadi wanajiondoa kwenye group za WhatsApp.
  12. Imalamawazo

    JamiiForums Tanzania WAKATOLIKI: Je, unamuamini vipi padri unayekwenda kuungama/kutubu dhambi mbele yake?

    Padre naye anaungama kwa padre
  13. Imalamawazo

    JamiiForums Tanzania Sadaka ni nini? Je, Kanisani inatolewa Sadaka kwa mujibu wa andiko gani la Agano Jipya?

    Nenda kanisani, leo ni Epifania, sherehe ya mwana wa Mungu kujifunua kwa mataifa, nao kumtolea sadaka kupitia zawadi za Mamajusi
  14. Imalamawazo

    JamiiForums Tanzania Mambo ya kuzingatia katika Kudhibiti Mbu waenezao Malaria, Uchunguzi wa Ugonjwa na Tiba sahihi ya Malaria

    Upulizaji wa hiyo dawa ya ukoko ni deal kwa watu wa halmashauri hivyo usitegemee upatikanaji wake uwe rahis
Back
Top Bottom