Recent content by iMachange7

  1. iMachange7

    Ipo siku tutainuka na kushangaza ulimwengu; Amka, acha visingizio, kwepa umasikini.

    Tuwe na moyo wa udhubutu...tusidharau kila kitu...hata kama ni biashara ndogo ndogo
  2. iMachange7

    Ipo siku tutainuka na kushangaza ulimwengu; Amka, acha visingizio, kwepa umasikini.

    *Mark Elliot Zuckerberg* ndiye mgunduzi wa Facebook na mmiliki wa Whatsapp. Mwezi huu wa May, 2017 jarida la Forbes lilimtaja kuwa tajiri namba 5 duniani, akiwa na utajiri unaofikia US$ 63.3 billion (Dola bilioni 63.3) sawa na Trillioni 139.26 za kitanzania. Unafikiria nini? Zuckerberg ni...
  3. iMachange7

    Paul Makonda ateuliwa kuwa Waziri Mkuu MUCCOBS, Bunge lamkataa

    Unakijua chuo cha ishirika ww...au unaropoka tu...ezakawa hata ujasoma
  4. iMachange7

    Paul Makonda ateuliwa kuwa Waziri Mkuu MUCCOBS, Bunge lamkataa

    Ushirika sio chuo cha mchezo chezo...njoo soma ujue elimu ya muccobs ipoje
  5. iMachange7

    Mtaji kidogo kwa aliekosa kazi unapatikana

    Kuna aliyepata mtaji humu ?
  6. iMachange7

    Waliochaguliwa MOCU/MUCCOBS tukutane hapa

    Tareh 17 registration itaanza wakuu
Back
Top Bottom