Hata wale mnaohisi ni mambumbu yaani hawakusoma wana act tu wanankuwa ni wasomi. Kwa sababu wote inabidi waende chuoni wakasome na wafaulu.wabongo wameingizwa chaka...makondakta hana hata chembe ya kuwa mwanausalama.naona kuna watu wanataka kubadilisha gia angani ili ionekane jamaa anafanya kazi kwa maslahi ya taifa.. .wana recuirt wenye IQ zao ila wanawapa task ajabu za ajabu.so usishangae mtu ni shoeshine kumbe yupo kazini ila kichwani ana nondo zake.nakumbuka mwaka juzi udsm walichukuliwa vijana waliokuwa wanamalizia chuo walienda wakachukua list ya majina wakapiga mstari majina kadhaa.wale vijana wakapotea mpaka leo sijui wapo wapii ila sio kama daudi ambaye ana fail toka darasa la 4 eti system..system my foot..hawachukuagi vilaza wanachukua best candidate wenye IQ kubwa
hii sio kazi ya kanituma baba