We unajua maana ya proxy war?yaani Tanzania iwe uwanja wa vita kati ya Rwanda na Uganda?wakt huo huo unasema jiwe ataunga mkono upande gani kwa vita unayoizumgumzia?Haya Yemen na Syria ni proxy war ya Saudia na Iran,sasa Tanzania iwe proxy ya Uganda na Rwanda jamn wakuu huyo Jamaa anajielewa...
Kulitumikia taifa ndo usikaguliwe na CAG,ugawe watu,piga risasi,kamata huyu,tumia hivi bila bunge?tril 2.4 ndo kulitumikia taifa?
Bora tukodi wazungu watutawale aiseee yaani mtu 2.4 tril hazipo bado yuko ifisini na anajidai anapambana na rushwa?
Nimewadharau sana wadanganyika
Sent using Jamii...
Hahahha ili tuwe wazalendo
1.tenda ilitangazwa lini?
2.CAG amekagua manunuzi?
3.je ni kipaumbele chetu?
4.kwann inunuliwe cash?
Halafu kwa ukandamizaji huu wa kidola unaoendelea unategemea uzalendo ?
Kwann awamu hii mnaongea sana uzalendo?mhalalishe upigaji?
Halafu jiulize
Baba yako akitumia...
Venezuela ndo ina largest reserve of oil ikifuatiwa na saudia,mm nazungumzia demokrasia,sijakuambia uniletee listi ya production hapa,we ubane watu at to the edge halafu ukingolewa unasema wanasingizia watu?mabeberu ndo walimwambia aendeshe Sera za ukandamizaji? Mm nachojarb kukuelewesha ni...
Hivi unajua bunge la Venezuela linawapinzani wengi kuliko chama cha maduro?
Maduro kafunga wapinzani wengi sana wa kisiasa,uchaguzi wa vioja,deni kubwa la taifa kutokana na matumizi makubwa na ukandamizaji thidi ya haki za raia hivi mabeberu ndo wamemwambia anyanyase watu wake hivyo?angefuata...
Hoja wameshindwa wanakimbilia risasi,wanaziba watu midomo ili wizi wao usigundulike,na upinzani wakiamua kuwashughulikia the same way mfanyavyo mtapona?maana ninyi ni mabingwa wa kufeli kila k2
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.