thetallest
JF-Expert Member
- Oct 21, 2017
- 8,256
- 9,085
Kuna wimbi la mashambulizi makali ya dhihaka juu ya juhudi za rais katika kulitumikia taifa kama mkuu wa nchi,je hii inaweza ku demorise kasi yake ya utumishi?
Nawapongeza wale wanao kosoa ,elekeza,shauri,na kutoa mawazo mbadala kwa staha,huo ndio utanzania halisi.
Povu ruksa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Nawapongeza wale wanao kosoa ,elekeza,shauri,na kutoa mawazo mbadala kwa staha,huo ndio utanzania halisi.
Povu ruksa!
Sent using Jamii Forums mobile app