CARDLESS
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 7,786
- 15,726
Mm nina wahuni wangu kibao darasa la saba wapo huko... niliwaacha wakizama huko polisi mi nkasepa zangu maeneo mengine..."Kama JKT hata darasa la saba.. kwa form iv wanahitaji not less than iv ya 28
Adavance usiwe na zero tu..
Diploma pia ufaulu wowote...
Chuo kikuu ufaulu wowote pia...
KUBWA KUBWA ZAIDI UWE KIDOGO NA AKILI ZA KUUNGAUNGA"...
Sent using Jamii Forums mobile app
emoji115]wewe kum*** soma ulicho andika, tangu lini polisi waliajiri std 7 toka jkt!!
Jf ni sehemu ya kuelimishana acha kujaa 'nyembe'
5/5
Ndio maana nimekuambie we fala..
Sent using Jamii Forums mobile app