East African
JF-Expert Member
- Nov 27, 2013
- 704
- 989
Habari za asbh
Kutokana na umahiri wa Kabudi katika wizara ya Sheria napenda kuamini ya kuwa huenda akaja kuwa kiongozi wa nchi hii.
Binafsi nampenda anavyotoa maelekezo na majibu bila Shaka anaweza kumrithi mheshimiwa Dr Magufuli 2025.
Nimefurahi pia alivyohamishiwa wizara nyeti zaidi ya Mambo ya nje kimataifa kwani anaenda kupata exposure ya juu zaidi duniani.
Ni mawazo na matamanio yangu.
Tofa
Kutokana na umahiri wa Kabudi katika wizara ya Sheria napenda kuamini ya kuwa huenda akaja kuwa kiongozi wa nchi hii.
Binafsi nampenda anavyotoa maelekezo na majibu bila Shaka anaweza kumrithi mheshimiwa Dr Magufuli 2025.
Nimefurahi pia alivyohamishiwa wizara nyeti zaidi ya Mambo ya nje kimataifa kwani anaenda kupata exposure ya juu zaidi duniani.
Ni mawazo na matamanio yangu.
Tofa