Habari Wajasiriamali wenzangu!
Nauza till ya Tigopesa, nilikuwa naitumia kwa biashara zangu ila kwa sasa nimeamua kubadili biashara. Aliye serious ani-pm. Nipo Dar es salaam.
Karibuni sana.
Habari wajasiriamali wenzangu...nauza till ya tigo pesa.....nilikuwa naitumia kwa biashara zangu ila kwa sasa nimeamua kubadili biashara ...aliye serious ani pm........nipo dar es salaam..
Karibuni sana
Habari za muda huu waungwana...naomba kujuzwa...huu mtandao bado upo?..nina simu ya mezani ya sasatel sijaitumia muda..nimeiwasha naona imeandika NO SERVICE....Kama haipo je simu hyo inafaa ku unlock?
asanteni..nawasilisha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.