Masafa ya Redio za FM, Dar es Salaam!

bampami

JF-Expert Member
Nov 5, 2011
5,697
4,107
Kama hujapata mabadiliko ya masafa ya Redio za FM hapa Dar es Salaam hizi ni frequency mpya za radio:

JAMHURI YA MUUNGANO TANZANIA
MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA
TAARIFA KWA UMMA
MABADILIKO YA MASAFA YA UTANGAZAJI KWA VITUO VYA FM RADIO VYA MKOA WA DAR ES ALAAM
Kwa mujibu wa kifungu 72 (1) cha sheria ya Mawasiliano ya Electronic na Posta ya mwaka 2010, na kanuni zake za udhibiti wa masafa ya radio za mwaka 2012, Mamlaka ya Mawasiliano iliendesha zoezi la upangaji upya wa masafa ya utangazaji kwa vituo vyote vya Radio vinavyorusha matangazo yake mkoa wa Dar es Salaam.

Mamlaka ya Mawasiliano ilifanya mashauriano na uongozi wa vituo hivi ili kuridhia masafa mapya yaliyopangwa kwa kila kituo.
Nia ya upangaji upya wa masafa ya Radio ni kuhakikisha matumizi bora ya masafa mkoa wa huu ambapo mahitaji yake yamekuwa yakiongezeka.

Kwa taarifa hii wananchi wote wanataarifiwa kuwa ifikapo saa sita usiku, tarehe 22.12.2012 vituo vyote vya utangazaji vya Dare salaam vitaanza kutangaza kwenye masafa mapya kama inavyoonyeshwa kwenye jedwali hapo chini;



S/N
Station Name
Current
New frequency
Frequency (MHz)
(MHz)
1
TBC TAIFA
92.3
87.5
2
EAST AFRICA RADIO
87.8
88.1
3
CLOUDS FM
88.4
88.5
4
KISSI FM
89.0
89.3
5
RADIO ONE
89.5
89.7
6
TBC FM
94.6
90.0
7
CITY FM RADIO
91.3
91.7
8
MAGIC FM
92.9
92.9
9
SIBUKA FM
94.0
94.5
10
TBC INTERNATIONAL
90.0
95.3
11
RADIO UHURU
95.2
95.7
12
PASSION FM
95.8
96.1
13
RADIO TUMAINI
96.3
96.5
14
WAPO FM
98.0
98.1
15
RADIO FREE AFRICA
98.6
98.9
16
PRAISE POWER
99.2
99.3

17
TIMES FM
100.5
100.5
18
CAPITAL FM
101.4
101.3
19
CHOICE FM
102.6
102.5
20
CLASSIC FM
103.1
103.3
21
RADIO MARIA
103.5
103.7
22
RADIO KHERI
104.1
104.1
23
RADIO IMAAN
104.4
104.5
24
MORNING STAR
105.3
105.3
25
RADIO TUMAINI INTERNATIONAL
105.9
105.7
26
MLIMANI RADIO
106.5
106.5
27
UPENDO RADIO
107.7
107.7
28
RADIO SAUTI YA QURAN
102.0
102.
 
Thanks, asubuhi ya leo nimepata shida kidogo kuikamata RFA kwakuwa asubuhi napenda kuisikiliza.
 
Asante mkuu Bampami, leo asubuhi 'tuongezee magazeti' ya rfa nimeimiss
 
Bampami au mwingine yeyote anayejua, frequency ya sasa Kiss FM Dar ni ipi? Ya zaman yaani 89.3 inatumiwa na ndg za wa FRA ka mujibu ya maagizo ya TCRA so sijui frequency mpya.
 
mmm zote hizo..... mbona had kichwa kitauma....


Too confusing, ukienda mikoa mingine au kanda nyingine nako kariri upya, hivi hakuna namna ya kuzi-merge zikawa the same country-wide, maana kwa namna zilivyo lazima uwe na kijidaftari

Magic FM wametumia magic kutobadilishiwa
 
Too confusing, ukienda mikoa mingine au kanda nyingine nako kariri upya, hivi hakuna namna ya kuzi-merge zikawa the same country-wide, maana kwa namna zilivyo lazima uwe na kijidaftari

Magic FM wametumia magic kutobadilishiwa

Pagumu.... bora ingekuwa n countywide......

Lkn mikoan tunapata 2 au 1 tu.....
 
hahaha!! kumbe hiyo! hivi inapatikana kwenye redio zote? maana nahisi kwangu haikamati

TBC mikoani inakamata fresh kabisa, kuliko redio ingine yoyote, ila kwa Darisalama hakuna maajabu, sijui kwanini. Hata wakati ule tuko analojia TV ya Taifa ilikuwa inapatikana vema mikoani kuliko Dar, ilikuwa chenga tupu!
 
Back
Top Bottom