Recent content by Igombe fisherman

  1. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania KERO Wakazi wa Ubungo–Msewe bado tunanunua ndoo ya maji Sh 1,300 hadi 1,500

    Hapa ndipo ilipotofauti ya masikini na tajiri. Sisi tunaona changamoto kwa kila fursa ila tajiri huona fursa kwa kila changamoto.
  2. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Je, ni vipi mwananchi wa kawaida ananufaika na mawakili wa serikali?

    Wanasaidia mashirika ya uma yakishitakiwa.
  3. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Kama ulikua hujui kuwa TABIA YAKO inaendana na HERUFI YA KWANZA YA JINA LAKO wacha nikufahamishe

    Tanzania ni nchi nyepesi sana kuburuza watu. Yaani akina ester, ezekiel, emmanuel, evelyn, wako na mfumo unaofanana kitabia. Yaani akina jackline walivyo malaya uwalinganishe na akina janet kweli? Hebu ngoja kwanza. Yaani ashura umlinganishe na amina
  4. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Nahitaji 260,000k Tarehe 18 mwezi huu naombeni kazi au mchongo mpaka tarehe hiyo niwe nimepata hiyo hela

    Njoo uvue dagaa goziba. Kazi inaanza tarehe tatu. Aah kumbe uko dar kiasi kwamba nauli tu ni kubwa kuliko hata hela unayohitaji basi pole
  5. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Ndoa nyingi hazidumu kwasababu watoto wengi wazazi wao walikuwa mashangingi.

    Kosa la kwanza ni pale ndoa ilipoitwa pingu za maisha. Yaani binadamu anavyoogopa pingu halafu ndoa ikaitwa pingu tena za maisha
  6. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Mnadhani mnawazidi Wachina akili? Subiri muone.

    Tatizo wabongo hatuhurumiani. Bidhaa ya mbongo inauzwa shilingi 5500 bidhaa hiyohiyo mchina anaiuza 1800. Unafanya kazi kwa mkandarasi mzawa unalipwa elfu 10 na malipo siyo ya wakati wakati kazi hiyohiyo kwa mchina ni 20000 kwa malipo ya wakati
  7. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Oh Pacome,pole sana

    Huku usukumani mtu anatibiwa kienyeji mwezi mumoja tu anarudi hali ya kawaida na shughuri zake zinaendelea
  8. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Maskini Pacome. Kweli kuimba kupokezana. "Kama Simba hawataki Kuguswa wakacheze karata" Pacome leo kaguswa

    Pacome wamlete huku usukumani tu atapona kwa chini ya siku 21 kwenye matibabu ya jadi
  9. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania HOJA Janga la Mashoga Mitaani na kwenye Familia... Kwanini Serikali na Jamii wanafumbia Macho?

    Harafu munaijua jamiiforums. Yaani munajua raisi ni nyerere ila munaijua m,pesa na airtel money. Basi hicho kijiji kinamaajabu
  10. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Huyu dogo Hana Miaka 14. Wadanganyeni Wengine!

    Kaangalie marudio ya misiri na moroco. Watu wanandevu halafu tunaambiwa ni chini ya miaka 17 nilichoka. Yaani mule hapakuwa na mtu wa miaka 16 hata mmoja
  11. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania HOJA Janga la Mashoga Mitaani na kwenye Familia... Kwanini Serikali na Jamii wanafumbia Macho?

    Yaani munavyoandika kwetu sisi ni vitu vigeni kabisa. Yaani kwa maisha yangu yote sijawahi kutana na shoga live. Yaani sijawahi ona hata mtu mumoja mwenye viashilia hivyo. Mi naona kama ushoga ni vitu vya mtandaoni tu wa kupotezea muda
  12. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Ndugu yetu Naftali Maziwa ameuawa huko Mpanda na jeshi la Tanapa

    Hii simulizi hii. Kuna kitu kimepinda hapa
  13. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Ubora wa ndoa Tanzania tunaupimaje, au cha muhimu watu hawajaachana?

    Kilichozilinda ndoa za mababu ni ule uoga wa jamii itanionaje tu. Hapakuwa na maadili wala upendo wowote
  14. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Kwa wataalamu wa vyombo vya moto: Kati ya gari na pikipiki kipi kina mwendo wa haraka zaidi?

    Usifananishe gari na vitu vya ajabu ndugu. Pikipiki itashinda tu kama shindano litakuwa ni fupi mfano chini ya kilometa 20. Ila tofauti na hapo gali atalikuta limeshapoa zamani tu
  15. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Vijana walipiga kwa hasira na kuliharibu roboti linalofanya kazi ya "Delivery" wakidai limechukua ajira za watu huko Marekani

    Wasizoee. Watalikuta siku moja limewekewa mfumo wa kujilinda liwauwe na wakilipeleka mahakamani linauwa mahakimu na majaji wote na gerezani likauwe maaskari wote ndo watajua hayo siyo ya kuchezea
Back
Top Bottom