Tanzania ni nchi nyepesi sana kuburuza watu. Yaani akina ester, ezekiel, emmanuel, evelyn, wako na mfumo unaofanana kitabia. Yaani akina jackline walivyo malaya uwalinganishe na akina janet kweli? Hebu ngoja kwanza. Yaani ashura umlinganishe na amina
Tatizo wabongo hatuhurumiani. Bidhaa ya mbongo inauzwa shilingi 5500 bidhaa hiyohiyo mchina anaiuza 1800. Unafanya kazi kwa mkandarasi mzawa unalipwa elfu 10 na malipo siyo ya wakati wakati kazi hiyohiyo kwa mchina ni 20000 kwa malipo ya wakati
Kaangalie marudio ya misiri na moroco. Watu wanandevu halafu tunaambiwa ni chini ya miaka 17 nilichoka. Yaani mule hapakuwa na mtu wa miaka 16 hata mmoja
Yaani munavyoandika kwetu sisi ni vitu vigeni kabisa. Yaani kwa maisha yangu yote sijawahi kutana na shoga live. Yaani sijawahi ona hata mtu mumoja mwenye viashilia hivyo. Mi naona kama ushoga ni vitu vya mtandaoni tu wa kupotezea muda
Usifananishe gari na vitu vya ajabu ndugu. Pikipiki itashinda tu kama shindano litakuwa ni fupi mfano chini ya kilometa 20. Ila tofauti na hapo gali atalikuta limeshapoa zamani tu
Wasizoee. Watalikuta siku moja limewekewa mfumo wa kujilinda liwauwe na wakilipeleka mahakamani linauwa mahakimu na majaji wote na gerezani likauwe maaskari wote ndo watajua hayo siyo ya kuchezea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.