Usifananishe gari na vitu vya ajabu ndugu. Pikipiki itashinda tu kama shindano litakuwa ni fupi mfano chini ya kilometa 20. Ila tofauti na hapo gali atalikuta limeshapoa zamani tu
Wasizoee. Watalikuta siku moja limewekewa mfumo wa kujilinda liwauwe na wakilipeleka mahakamani linauwa mahakimu na majaji wote na gerezani likauwe maaskari wote ndo watajua hayo siyo ya kuchezea
Ukimwi huambukizwa kwa njia ya saikolojia+ vipimo. Jibu linalotolewa na vipimo linaluwa ni jibu la vipimo vyenyewe siyo jibu la mwili uliopimwa. Hapo ndo wamefanikisha kuuambukiza ukimwi huku kusini mwa jangwa
Ndugu yangu kama tu tanzania kuna msomi bado anaamini dunia ni tambalale. Yaani iko kama sahani. Na huyo kahitimu chuo sasa. Pata picha aliyeacha shule darasa la sita na leo ana tecno yake atayaelewa hayo mambo ya anga za mbali
Bangi hukuongezea kile ambacho unacho. Haibadili kitu. Kama una uchizi uliopelea bange inakupeleka kwenye uchizi kamili. Kama unaakili nzuri bangi inaziboresha zaidi ya zilipoishia. Onyo usivute bangi kama unaakili %100 maana itaziongeza ziwe 130%
Mambo mengi yapo toka zamani tofauti ni taarifa tu. Kuna uwezekano hapo nyuma kuna unyama mwingi kuliko sasa hivi. Matukio kama haya zamani ndo yalikuwa mengi sana. Mazingira niliyokulia matukio ya kinyama yalikuwa mengi kuliko sasa
Mtu ana ng'ombe nyingi ila ni masikini!!!!. Utajiri ni kuuza shamba na mifugo ununue tv pikipiki na sofa. Kwa mtoa mada tajili kwake ni yule mwenye vitu vya mjini. Yaani mwenye miti hekali 10 ni masikini kuliko mwenye jokofu na godoro la super banco nchi 12 futi 6*6
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.