Recent content by Igombe fisherman

  1. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Kwa wataalamu wa vyombo vya moto: Kati ya gari na pikipiki kipi kina mwendo wa haraka zaidi?

    Usifananishe gari na vitu vya ajabu ndugu. Pikipiki itashinda tu kama shindano litakuwa ni fupi mfano chini ya kilometa 20. Ila tofauti na hapo gali atalikuta limeshapoa zamani tu
  2. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Vijana walipiga kwa hasira na kuliharibu roboti linalofanya kazi ya "Delivery" wakidai limechukua ajira za watu huko Marekani

    Wasizoee. Watalikuta siku moja limewekewa mfumo wa kujilinda liwauwe na wakilipeleka mahakamani linauwa mahakimu na majaji wote na gerezani likauwe maaskari wote ndo watajua hayo siyo ya kuchezea
  3. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Kwanini Afrika ya weusi (chini ya jangwa la Sahara) ilipigwa vibaya zaidi na UKIMWI?

    Ukimwi huambukizwa kwa njia ya saikolojia+ vipimo. Jibu linalotolewa na vipimo linaluwa ni jibu la vipimo vyenyewe siyo jibu la mwili uliopimwa. Hapo ndo wamefanikisha kuuambukiza ukimwi huku kusini mwa jangwa
  4. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Mtoto aliyefariki, arudishiwa uhai baada ya kuombewa!

    Mtoa mada nimependa uvumilivu wako. Unajubu kwa busara sana reply za wadau. Kuhusu mada yako sina cha kuchangia
  5. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Naipenda Tanzania Yangu Ndiyo Maana Ukweli Huu Unaniuma. Tusemezane Tuamke!

    Ndugu yangu kama tu tanzania kuna msomi bado anaamini dunia ni tambalale. Yaani iko kama sahani. Na huyo kahitimu chuo sasa. Pata picha aliyeacha shule darasa la sita na leo ana tecno yake atayaelewa hayo mambo ya anga za mbali
  6. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania U-Super power wa China na Urusi sio halisi, ni tambo zaidi

    Hata vita vya urusi na ukiline vilileta bei mpya ya mafuta duniani ila marekani na nato kwa ujumla hawakufanya chochote
  7. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Kama Mungu yupo basi hataki tumjue

    Mungu yupo ila sifa tulizoambiwa anazo zilitiwa chumvi
  8. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Kama Mungu yupo basi hataki tumjue

    Mungu yupo ila sifa tulizoambiwa anazo zilitiwa chumvi
  9. Igombe fisherman

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini Watu Wenye (IQ Kubwa) Wanaongoza Kuwa na 'Mabushoke' Kwenye Ndoa na Mahusiano Kuliko Darasa la Saba?

    Mwenye akili siyo malaya. Asiye malaya ni mgeni wa mapenzi. Mgeni wa mapenzi anapigwa na wajanja wa mapenzi
  10. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Polisi njooni mtuondolee vibaka huku Misugusugu Kibaha, wananchi wanateseka au mmewashindwa?

    Chukua bendela 20 za chadema kafunge uwanja wa mpila. Kisha usiku piga simu polisi. Waambie wafuasi wa chadema wanafanya mikutano huku uone
  11. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Bangi: Kwanini wengine wanaifurahia, lakini wengine hupata madhara makubwa?

    Bangi hukuongezea kile ambacho unacho. Haibadili kitu. Kama una uchizi uliopelea bange inakupeleka kwenye uchizi kamili. Kama unaakili nzuri bangi inaziboresha zaidi ya zilipoishia. Onyo usivute bangi kama unaakili %100 maana itaziongeza ziwe 130%
  12. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Niliiona hii laana ikiingia nchini

    Mambo mengi yapo toka zamani tofauti ni taarifa tu. Kuna uwezekano hapo nyuma kuna unyama mwingi kuliko sasa hivi. Matukio kama haya zamani ndo yalikuwa mengi sana. Mazingira niliyokulia matukio ya kinyama yalikuwa mengi kuliko sasa
  13. Igombe fisherman

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vunja ukuta wa shikamoo! Uingie kwenye dunia yake kimkakati!

    Andika na mbinu za kuingia kwenye lile kontena la b.o.t kuzoa pesa ndugu
  14. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Mambo ya ajabu yanayotokea Kanda ya Ziwa tu

    Mtu ana ng'ombe nyingi ila ni masikini!!!!. Utajiri ni kuuza shamba na mifugo ununue tv pikipiki na sofa. Kwa mtoa mada tajili kwake ni yule mwenye vitu vya mjini. Yaani mwenye miti hekali 10 ni masikini kuliko mwenye jokofu na godoro la super banco nchi 12 futi 6*6
  15. Igombe fisherman

    JamiiForums Tanzania Anayejua Rais Samia Suluhu anatupeleka wapi atuambie, naona kama tunapotea

    Na ukamfikisha salama kweli. Umelikosea sana taifa
Back
Top Bottom