Dereva wa basi la BM angeweza kuwapa tahadhari hao wa nyuma yake kwa vile yeye alikuwa analiona lori lililoharibika mbele yake. Yaani wakati mwengine madereva wanaokuwa mbele wanakuwa na mamuuzi ya kishetani kabisa kwa kuwakomoa wa nyuma yake.
Kama yupo ndani ya hiyo nchi mnapanga ratiba kukutana, kama mmoja yupo dar mwengine yupo singida hivi basi mnakutana dom week-end mnafanya yenu hata mara 2 kwa mwezi si mbaya
Mwanzo miradi ilikuwa inachukuliwa na wazungu hali ndo ilikuwa mbaya zaid kwa sababu mikataba iliyokuwa ikitumika ni ya kimataifa (Fidic) ilikuwa lazima walipwe kwa $...tukija kwa wachina mirad karibu yote wanalipwa kwa Tsh.. sisi kandarasi za kibongo wengi hatukidhi vigezo vya kupata miradi...
Familia inaanza na wawili mkiwa wapenzi kabla ya kuingia uchumba na mwishowe mke na mume ambapo Mungu akijalia watoto nao watazaliwa. Ila siku hizi vijana wa kiume wengi wanakataa ndoa na wengine wanakwepa majukumu yao ya kuwa na familia ambapo inawafanya vijana wa kike kukosa wachumba na mara...
Usimchunguze mkeo ....utakipata unachokitaka siku moja afu kitakuumiza sana kama sio kukupindisha mdomo na upande wa mwili kupooza... Akiliwa na wewe kale tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.