Recent content by IGADESA

  1. I

    Una Miaka 30+ unafata nini night club?

    Hao watoto wa 2005 ndo wanatupeleka club kuchangamsha akili na kuupasha mwili ili tukitoka hapo tukafanye mambo yetu miili ikiwa yamoto..
  2. I

    Mabingwa wa kutunga nyuzi za uongo uongo

    Wale wa kula tunda kimasihara.
  3. I

    Kwanini ajali ya mabasi 2 na lori la mafuta kuungua moto iliotokea Mlandizi haiongelewi? Wembamba wa Morogoro Road ni janga la taifa

    Dereva wa basi la BM angeweza kuwapa tahadhari hao wa nyuma yake kwa vile yeye alikuwa analiona lori lililoharibika mbele yake. Yaani wakati mwengine madereva wanaokuwa mbele wanakuwa na mamuuzi ya kishetani kabisa kwa kuwakomoa wa nyuma yake.
  4. I

    Siku yangu ya kwanza kuingia ofisi za kubeti kwa bahati mbaya

    Nashukuru huu mwez utaisha vizuri.
  5. I

    Kwa wanandoa: Unamalizaje haja zako Ukiwa mbali na mwenza wako?

    Ka unawezo unalipia nauli ya ndege tu mara 1 ndani ya miez mitatu si mbaya..unafika huchok wala nn..ukirud unapanda basi.
  6. I

    Kwa wanandoa: Unamalizaje haja zako Ukiwa mbali na mwenza wako?

    Kama yupo ndani ya hiyo nchi mnapanga ratiba kukutana, kama mmoja yupo dar mwengine yupo singida hivi basi mnakutana dom week-end mnafanya yenu hata mara 2 kwa mwezi si mbaya
  7. I

    Kwa damu ya Yesu Roho yangu nimemkabidhi Yesu Pekee

    Kwa nini wanakufatilia adi kutaka kukutoa kafara kipenzi?
  8. I

    Serikali ndiyo imeshtuka, ukosefu wa dola umesababishwa na Serikali yenyewe kwa kuwabeba wachina miradi mingi

    Mwanzo miradi ilikuwa inachukuliwa na wazungu hali ndo ilikuwa mbaya zaid kwa sababu mikataba iliyokuwa ikitumika ni ya kimataifa (Fidic) ilikuwa lazima walipwe kwa $...tukija kwa wachina mirad karibu yote wanalipwa kwa Tsh.. sisi kandarasi za kibongo wengi hatukidhi vigezo vya kupata miradi...
  9. I

    Je, ulifika Third floor(30s) bila kuwa na familia? Hali ilikuwaje?

    Familia inaanza na wawili mkiwa wapenzi kabla ya kuingia uchumba na mwishowe mke na mume ambapo Mungu akijalia watoto nao watazaliwa. Ila siku hizi vijana wa kiume wengi wanakataa ndoa na wengine wanakwepa majukumu yao ya kuwa na familia ambapo inawafanya vijana wa kike kukosa wachumba na mara...
  10. I

    Amani imetoweka moyoni mwangu, Co Worker wa kiume na mke wangu wapo karibu sana, nichukue uamuzi gani?

    Usimchunguze mkeo ....utakipata unachokitaka siku moja afu kitakuumiza sana kama sio kukupindisha mdomo na upande wa mwili kupooza... Akiliwa na wewe kale tu.
  11. I

    Mimi ni Mama jueni hilo

    Tuwekee na picha kabisa waone....wakiona wataamini.
  12. I

    Loving you Mahondaw

    Penzi la ujanani tamu...hongereni.
  13. I

    Niliwahi kosea jambo hili kwa Mwanamke, leo sitaki rudia. Naombeni msaada

    Ni Bacterial Vaginosis ni ugonjwa wa wanawake tu.
  14. I

    Niliwahi kosea jambo hili kwa Mwanamke, leo sitaki rudia. Naombeni msaada

    Shida ni BV, wadada wengi sana wana hiyo shida.
Back
Top Bottom