Recent content by IGADESA

  1. I

    Je, ni sawa kutumia ulimi kama nyenzo ya kumlainisha Mwanamke kabla ya kupiga mjegeje?

    Enz za ujana wangu nilikuwa napenda sana kufanya iyo kitu, ila baada ya miaka mingi kupita nimejifunza mambo mengi sana yanayohusu mapenzi na afya....kifupi tu jambo hili ni hatari sana kwa afya ya wote mlambwaji na mlambaji maana mnajiweka kwenye hatar kubwa ya kupata magonjwa kama vile Fungus...
  2. I

    Hóla Diamondhead Superbike: Pikipiki ya umeme ya ki-futuristic kutoka India

    Hapa bongo shida itakuwa kumpata fundi ikija kusumbua...mafundi boda washazoea kuzipiga nyundo pkpk za mchina.
  3. I

    Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Samsung ni brand bora zaid ila izo simu zinafanana uwezo.
  4. I

    Nimechagua Infinix hot 60 pro badala ya Samsung A16 zote bei zilikua sawa 400k

    Hizo zinafanana specs... Ila samsung android yake itakuwa updated zaid ya infinix.
  5. I

    Ndg zetu waislamu kwani Adhana ni lazima?

    Mkuu sisi wakristu tuna kengele kanisani zikipigwa zile lazima uamke ile sa 12 asubuhi.
  6. I

    Rest In Peace Katibu, umetuachia kumbukumbu

    Kwani kipimo cha DNA kinasemaje?
  7. I

    Hivi kwanini jamii ya kitanzania hatuwezi kufanya biashara ya kifamilia

    Serikali ingeanzisha biashara darasa ambapo vijana wangekuwa wanaomba nafasi za kujifunza ili kupata ujuzi kama ilivyo kwa kada nyingine za kiujuzi. Hii itasaidia hata kwa vijana walio na urithi wa biashara kutoka kwa wazazi wao kuendeleza biashara zao vizuri kwa ujuzi.
  8. I

    Wanywaji wa pepsi mpo

    Nimetoka kuipiga sa hz na pilau la mama ntilie, sa hz niko fresh kabisa.
  9. I

    Wanaume, huwa mnaharakia nini?

    Stress za kimaisha zinasababisha mashine nazo zinachoka ka gar bovu la kusukumwa ambalo likiwaka tu hakuna kuremba ni kukanyaga moto likazimikie mwisho wa safar ...
  10. I

    Maajabu ya Msiba wa Spika Mstaafu Kongwa: Haijulikani ana wake na watoto wangapi?

    Cheti cha ndoa kinatolewa na serikali, ama mfunge ndoa bomani, msikitini ama kanisani. Kwa hiyo cheti cha ndoa cha kwanza ndo kinatambulika labda kuwe na talaka iliyovunja ndoa ya kwanza.
  11. I

    Kwa haya yanayoendelea misri, Simba tuanze kumlaumu GSM?

    Labda shida ni pozi la picha tu...ila kuogelea ni mazoezi mazuri sana kwa wachezaji.
  12. I

    Hamu ya kushiriki tendo inapopotea kabisa. Nini kifanyike?

    Badilisheni mazingira..wk end mkalale hotel ama pangeni safar mkoa mwengine ...mle vyakula vinavyosaidia kuongeza hamu na kutoa ukavu , bamia na nyanya chungu, tikiti maji, karanga na korosho. Kumbushaneni enzi za ujana wenu mlivyokuwa wa moto... Ukavu ukizidi nunueni vilainishi kwenye duka la...
  13. I

    Kipi kinafanya tuziogope maiti

    Kwa Tanzania tunaogopa maiti kwa vile tunaishi kwa amani sana... Palestina, congo, syria uko unakuta mtu anajificha kwa kwa kujifunika maiti juu yake ili asiuwawe na yeye...
  14. I

    Matoleo ya baiskeli Tanganyika

    Bmx ya kishua
Back
Top Bottom