Rest In Peace Katibu, umetuachia kumbukumbu

Rest In Peace Katibu, umetuachia kumbukumbu

Shida watu wakiwa wanajua alf hujui
Unabak kuwa na maswal mengi

BDDC9169-FB7D-485C-BE45-088ADA098FC9.jpeg

Ngoja nianze kazi
 
Haya makanisa ya kuzuka haya huwa yana masharti yake ili kupata.mvuto sasa inategemea mtu kachagua fungu lipi huwa ni siri yao kali sana ni wengi wanasema huwa wanawazuia wanaume kufanya tendo ila huwa kuna limnyama la ajabu ndio.hulala nae kwa hyo mke hapo ili kuondoa ushahidi anatumika anazaa na unaleo ila sirinsirini,sikumoja ya ajabu siri inavujaaa
Inasemekana manabii wengi wanatakiwa kutoa sadaka zenye maumivu ili kupata Mali na umaarufu
 
Huyo mwanamke alikuwa wa Katibu Masanja akapita naye kwa sababu ana mkwanja, so katibu na mama mchungaji wakaendelea na mahusiano yao kimya kimya ndio yanaleta hayo matunda
Aha
Katibu ni nani kwa masanja
Au inakuaje

Na hao watoto wote ni wake au?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom